• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YENU-DKT. MPANGO

Posted on: May 11th, 2023

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdor Mpango amewataka Mawakili na Wanasheria kusimamia maadili ya taaluma yao ili waweze kutenda haki.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua mkutano wa mwaka wa chama cha wanasheria Tanganyika, Jijini Arusha.

" Taaluma hii ni kama zilivyo taaluma nyingine hivyo mkishindwa kufuata maadili haki za wananchi zitapotea".

Aidha, amekitaka chama hicho kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote ambao watabainika wamekiuka sheria za taaluma hiyo ili iwe fundisho kwa wengine na haki iweze kupatikana kwa wananchi wote.

Vilevile, amekitaka chama hicho kuendelea kuongeza nguvu za kutoa elimu kwa wananchi kupitia vyombo mbalimbali vya habari kwa kuwa wananchi wengi wanapoteza haki zao kwa kutokufahamu sheria.

Dkt. Mpango amewashauri mawakili kuangalia namna ya kupunguza gharama zakusikiliza mashauri kwa kushirikiana na mahakama ili wananchi waweze kumudu gharama hizo nakupata haki zao.

Amesema Serikali itaendelea kushirikiana na chama hicho na taasisi nyingine za kisheria ili kuhakikisha haki inapatikana maana ni msingi wa amani katika nchi.

Nae, Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damasi Ndumbaro amesema Jamii iliyokosa haki siku zote haina amani, hivyo kazi ya sheria ni kusimamia haki na wanaotafsiri sheria hizo ni wanasheria.

Kwa upande wake, Rais wa chama cha mawakili Tanganyika Prof. Edward Hosea amesema  chama hicho kimeweza kutoa msaada wa kisheria bure kwa wananchi takribani 7307.

Pia, chama hicho kimeongeza ushirikiano na Serikali katika kuishauri Serikali kwenye sheria ambazo zinaitaji maboresho na mchakato wa katiba mpya.

Akitoa salama za ukaribisho Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema wanasheria wanafanya kazi kubwa katika maswala ya sheria hasa kwa wananchi.

Mkutano Mkuu wa wanasheria ulianza Mei 8 na utaendelea kwa muda wa wiki nzima huku ukiambatana na semina mbalimbali kwa wanasheria hao.





Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa