• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

LOWASSA ALIAMINI KATIKA KUWAJENGEA UWEZO VIJANA

Posted on: February 17th, 2024


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia,amemzunguzi Hayati Edward Lowassa kuwa ni mtu aliyependa maendeleo ya taifa lake huku akiamini maendeleo huja kwa kuwekeza katika kwa vijana kwa kuwaandaa kwa kuwapa elimu bora itakayowawezesha kujikwamua kijamii na kiuchumi.


Mhe. Rais amesema hayo, wakati akizungumza na maelfu ya waombolezaji walishiriki ibada ya mazishi ya Hayati Edward Lowassa, yaliyofanyika Kijiji cha Ngarash wilaya ya Monduli Februari, 17, 2024.


Dkt. Samia amesema kuwa Hayati Lowasa aliamini kila kijana akipata elimu itampa ujuzi na maarifa na kuwa na stadi zitakazomuwezesha kumudu kujitegemea na kulitumikia taifa lake ndio maana alisimamia kipaumbele chake cha Elimu, Elimu,Elimu.


Lowasa alipenda vijana wapate ujuzi na maarifa ndio maana alipokuwa mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 aliweka wazi kipaumbele chake cha kwanza elimu, cha pili ni elimu cha tatu pia ni elimu.


Lowassa alikuwa muumini wa elimu, kama nyenzo ya kujikwamua kutoka katika umasikini na mara zote alisistiza kuwa, aliuchukia umasikini na kusisitiza umuhimu wa elimu bora kwa wote, elimu itakayowaandaa vijana kuingia kwenye ushindani wa  soko la ajira duniani.  


"Matunda ya dhamira ya Lowassa ya kusimamia sekta ya elimu ndio yanayoonekana sasa, kwa kuimarika kwa sekta ya elimu na ongezeko la shule za sekodandari na idadi ya wanafunzi nchini" Ameweka wazi Rais Samia


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa