• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AWAONYA TATU MZUKA WANAOPORA WANANCHI ARUSHA..

Posted on: October 13th, 2025

 *Awataka watafute kazi nyingine haraka*


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA.  Amos Gabriel Makalla, ametoa onyo kwa vijana wanaotumia usafiri wa pikipiki kufanya uhalifu mkoani Arusha, maarufu kama Tatu Mzuka, kuacha mara moja vitendo hivyo badala yake kutafuta kazi nyingine halali ya kufanya.


CPA. Makalla ametoa onyo hilo leo Oktoba 13, 2025 kufuatia malalamiko ya wananchi wa kata ya Muriet wakati,  akitembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Stendi Kuu ya mabasi ya mkoa wa Arusha, kata ya Muriet.


 "Tatu mzuka popote walipo, natoa onyo kuachana na uhalifu wa kutumia pikipiki, nasema wasinichokoze, nitakula nao sahani moja, mkoa wa huu unahitaji kuwa salama, nikiwa mkuu wa mkoa ni marufuku Tatu Mzuka, nawaonya watafute kazi nyingine"  Amesema CPA Makalla


Aidha, amewasisitiza vijana hao wa Tatu Mzuka kutambua kuwa mkoa wa Arusha una wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi hivyo, hivyo kila mwananchi anatakiwa kufanya kazi halali pamoja na kuwa mlinzi wa usalama wa eneo lake na sio kufanya uhalifu  na kuonheza kuwa Arusha inahitajika kuwa salama zaidi.


Hata hivyo, CPA Makalla, amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Mkoa, kushughulikia vijana wanatumia pikipiki kufanya vitendo vya  uhalifu na kuhakikisha kuwa Arusha sio seheme ya Tatu Mzuka, ili kuhakikisha mkoa unakuwa salama na wananchi waishi kwa amani na utulivu huku wakiendelea kufanya shughuli zao uzalishaji mali kukiwa salama.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AWAONYA TATU MZUKA WANAOPORA WANANCHI ARUSHA..

    October 13, 2025
  • MIRADI YA STENDI, SOKO NA JENGO LA UTAWALA JIJI LA ARUSHA IKAMILIKE KWA WAKATI- RC MAKALLA..

    October 13, 2025
  • TAMISEMI YA SAMIA; MAFANIKIO YANAONEKANA...

    October 10, 2025
  • DKT. SAMIA AMEBORESHA VIWANJA VYA NDEGE ARUSHA NA MANYARA KUKUZA UTALII NCHINI- RC MAKALLA...

    October 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa