• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNDA TUME YA UCHUNGUZI, KUCHUNGUZA CHANZO CHA AJALI YA MOTO ULIOTEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI ENDUIMENT

Posted on: August 27th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mheshimiwa Marco Ng'umbi ameunda tume ya uchunguzi ili kujua nini chanzo kilichopelekea moto ulioteketeza na kuharibu bweni la wasichana katika shule ya Sekondari Enduiment, 



Ajali hiyo ya moto imetokea  shuleni hapo Enduiment usiku wa Tarehe 26/8/2024, ambapo wananchi wa eneo hilo la Enduiment wakishirikiana na vijiji vya jirani walishirikiana kwa bidii ili kuzima moto huo bila mafanikio .



Bweni hilo la wasichana Enduiment linabeba zaidi ya wanafunzi 145,ambapo wakati wa moto huo unatokea wanafunzi walikuwa madarasani wakijiandaa na mitihani inayoendelea shuleni hapo 



Aidha mkuu wa shule ya Sekondari Enduiment Mwalimu Hassan Hassan amezungumza na viongozi pamoja na wananchi waliofika mahali hapo na kueleza kuwa ,chanzo cha moto huo bado hakijulikani.Na yeye kama Mkuu alipokea taarifa ya uwepo wa moto huo kwa mwanafunzi aliekuwa anaumwa na amepumzika katika moja ya vyumba kwenye bweni hilo



Mwalimu Hassan ameendelea kusema baada ya kusikia taarifa hiyo walichukua hatua ya kupiga kelele na kelele zilizozaa matunda kwani wanafunzi wananchi wa maemeo ya karibu walifika kwa haraka na kuanza kufanya jitihada ya kuuzima moto huo kwa kutumia michanga na maji .



Sambamba na jitihada hizo zote ila bado hazikuzaa matunda kwani moto ulikuwa mkubwa na upepo ulikuwa mkali kiasi cha kushindwa kuokoa mali zilizopo kwenye bweni hilo zikiwemo vitanda ,magondoro na masanduku ya wanafunzi hao wa jinsia ya kike.



"Kwakweli vitu vingi vimeteketea mali zote za wanafunzi zimeharibika tumeokoa magodoro yasiyozidi hamsini tu"Alisema Mwalimu Hassan



 Mkuu wa Wilaya ya Longido Mheshimiwa Ng'umbi amewaomba wanafunzi, Walimu, wazazi pamoja na wananchi kuwa na subira na utulivu wakati Serikali inafanya uchunguzi juu ya moto huo na kutafuta namna ya kurejesha hali nzuri ya mazingira ya kuwawezesha wanafunzi hao kuendelea na shughuli zao za kawaida.



Ajai za moto zimekuwa tishio kwenye maeneo mengi,wananchi wanapaswa kuwa na uelewa juu ya namna ya kukabiliana na majanga ambayo yamekuwa tishio kwa binadamu na mali zao.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa