• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NENDENI UKADHIBITI UPOTEVU WA MAPATO KWA MFUMO POS

Posted on: November 11th, 2021

Karibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Dkt. Athumani Kihamia amewataka maafisa TEHEMA kuendelea kutumia mashine za kukusanya mapato(POS) katika maeneo yao.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua mafunzo ya matumizi ya mashine za kukusanya mapato (POS) kwa ngazi ya Mikoa na Halmashauri kutoka Mikoa 4 ya Kanda ya Kaskazini, Jijini Arusha.

Amewataka wakahakikishe fedha zote zinazokusanywa na mfumo huo zinawekwa benki kwa wakati.

Aidha, amekemea vikali vitendo vya baadhi ya wakusanya mapato kutoka ngazi za msingi na kwenye vituo mbalimbali vya kukusanya mapato hayo kutokuwa waaminifu kwa  kutopeleka fedha wanazokusanya  benki kwa wakati, au zikiwa pungufu na wengine kutopeleka  kabisa.

Dkt. Kihamia amewataka maafisa hao kuhakikisha wanapata elimu ya kutatua changamoto zote hizo ili wanaporudi kwenye vituo vyao vya kazi wakazitatue kwa haraka zaidi.

Akizungumzia lengo kubwa la mafunzo hayo Mkurugenzi wa TEHEMA kutoka ofisi ya Rais TAMISEMI  Erick Kitali amesema, mafunzo hayo yatakuwa niyakukumbushana majukumu ya maafisa TEHEMA hao ili wasiingiliane na taaluma vyingine katika utendaji wao wa kazi.

Pia, watafundisha namna ya kutatua changamoto za udanganyifu katika ukusanyaji wa mapato  kwa  kutumia mfumo huo wa POS.

Mafunzo hayo yamejumuisha  maafisa TEHEMA 211 kutoka ya Arusha, Tanga, Kilimanjaro na Manyara pamoja na Halmashauri zake na yanatarajiwa kufanyika kwa siku 2.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa