• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NMB YATOA PIKIPIKI 20 KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA MKOANI ARUSHA..

Posted on: May 23rd, 2024

Benki ya NMB leo Mei 22, 2024 imekabidhi Pikipiki 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ili kulisaidia Jeshi la Polisi katika kuimarisha na kustawisha Ulinzi na usalama kwenye Mkoa wa Arusha ulio muhimu na kitovu cha Utalii kwenye Kanda ya Kaskazini mwa Tanzania.


Bw. Filbert Mponzi, Afisa Mkuu wa Biashara na wateja binafsi wa Benki ya NMB Tanzania amesema Benki hiyo inaamini kuwa Usalama Ukiimarika utalii utakua zaidi na hivyo kusaidia kusisimua uchumi wa Arusha na kuongeza pato la Mkoa kupitia sekta hiyo muhimu yenye kuuingizia Mkoa wa Arusha na Nchi fedha nyingi za Kigeni.


Aidha Benki ya NMB imesema imeamua kutoa msaada huo kwa Mkoa wa Arusha kutokana na maono mazuri ya Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda ya kuimarisha ulinzi na usalama Mkoani Arusha pamoja na kukuza utalii ili kuweza kuwanufaisha wakazi wa mkoa wa Arusha.


Kwa upande wake Mhe. Mkuu wa Mkoa ameishukuru benki ya NMB kwa msaada huo na kuendelea kujitoa kwa jamii ya Arusha, akisema Benki hiyo imeendelea kuwa mfano katika kurudisha kwenye jamii sehemu ya faida wanayoipata.


Ikiwa ni kilele cha utekelezaji wa ahadi yake ya kulipatia Jeshi la Polisi pikipiki 50, Mhe. Paul Christian Makonda pia ameitaka Jamii kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kufichua uhalifu na wahalifu ambao wamekuwa wakitatiza jitihada za kimaendeleo zinazofanywa na serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Halikadhalika Mhe. Mkuu wa Mkoa Paul Christian Makonda pia amewataka wakazi wa Arusha kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba kwa lengo la kuondoa manung'uniko na pia kutengeneza Nuru njema isiyokuwa na malalamiko pale watakapoufikia Uzee wao ama watakaposhindwa kuzalisha mali kwa ufanisi unaotakiwa.


Benki ya NMB imekuwa mdau mkubwa wa maendeleo Mkoani Arusha ambapo wiki hii pia wanajiandaa kukabidhi meza na madawati kwenye shule za mkoa msingi na Sekondari zilizopo mkoani Arusha zenye thamani ya Shilingi milioni 146 za Kitanzania ili kusaidia katika kuboresha sekta ya elimu kwa kuweka miundombinu mbalimbali ya kukuza elimu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa