• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC KIMANTA- SHULE ZA VIJIJINI KUTUMIA MAJI SAFI NA SALAMA

Posted on: December 3rd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta amemuwakikishia Profesa Hilonga kuwa atahakikisha kila shule hususani za vijijini zinapata mtambo wa kuchuja maji kwa ajili ya matumizi mashuleni.

Ameyasema hayo alipokuwa akizindua mradi wa kutengeneza mtambo wa kusafisha maji safi na salama wa kampuni ya Gongali Model iliyopo jijini Arusha.

Kimanta amesema,kutokana na jamii nyingi kutumia maji yasiyo safi na salama kwa Mkoa wa Arusha,mtambo huo unaojulikana kama “nano filters”,utasaidia upatikanaji wa maji safi na salama.

Amesema, amefurahishwa na uwazishwaji wa mtambo huo kwani umeweza kutoa ajira kwa watu kwa kujipatia kazi ya kuuza maji katika maeneo mbalimbali.

Nae, Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Gongali Model Profesa Askawar Hilonga amesema, mtambo huo wa kuchuja maji umeweza kuajiri vijana takribani 127 na kuhudumia watu zaidi ya 300,000.

Amesema lengo kubwa la mradi huo ni kuwafanya vijana watumie elimu zao katika kujiajiri hususani kwa kutatua changamoto zilizopo katika jamii zao.

Pia, kuhakikisha jamii ya Arusha inatumia maji yasiyo na madini ya floride ili kulinda afya za wananchi kwani maji yanayopatikana katika Mkoa huo yana kiasi kikubwa cha madini hayo.

Amesema mbali na mtambo huo kuchuja maji pia unapunguza kiwango cha madini ya Floride katika maji.

Mradi wa Nano filters mpaka sasa umeshasambaa katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Arusha kwa lengo la kupunguza gharama za upatikanaji wa maji safi na salama.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa