• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AAGIZA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI KARATU UTEKELEZWE HARAKA..

Posted on: September 22nd, 2025

 _Aagiza Wananchi kupewa elimu ya utunzaji wa vyanzo vya Maji_


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ameiagiza Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Wilaya ya Karatu kuongeza kasi katika mchakato wa kumpata Mkandarasi wa kupeleka Maji kwenye Matenki pamoja na usambazaji wa maji kwa wananchi wa Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha kutoka kwenye chanzo cha Maji cha Bwawani.


CPA Makalla ametoa maelekezo hayo leo Jumatatu Septemba 22, 2025 Mjini Karatu kwenye ziara yake ya kukagua utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo, akitembelea na kukagua chanzo cha Maji cha Bwawani, Karatu Mjini, Chanzo ambacho kiliharibiwa na Mafuriko ya Mvua na kuathiri upatikanaji wa maji Karatu na hivyo kulazimu serikali kutenga fedha ili kunusuru chanzo hicho cha Maji ambacho kimekuwa tegemeo la uzalishaji maji kwa Mji wa Karatu pamoja na maeneo ya jirani.


Mhe. Makalla pia ameipongeza Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira Karatu kwa usimamizi mzuri wa utoaji wa huduma za Maji kwenye Wilaya hiyo ambao umefikia asilimia 71 kwasasa, akihimiza Jamii pia kushirikishwa na kupewa elimu katika utunzaji wa vyanzo vya maji vilivyopo kwenye maeneo yao.


"Niwasihi tushirikiane pia na wananchi wa maeneo haya kuona kwamba tunatunza vyanzo vya maji lakini pia na sisi wenyewe kama Mamlaka ya Maji kuendelea kutoa elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji na kutokuchafua vyanzo vya maji." Amesisitiza CPA Makalla.


Awali katika taarifa yake, Meneja wa Mamlaka ya Maji Karatu Injinia Steven Siayi, amemueleza Mkuu wa Mkoa kuwa serikali imeshatoa zaidi ya Milioni 145 kwaajili ya kufikisha maji kutoka kwenye chanzo hicho kwenda kwenye tenki la ujazo wa maji Lita 225, 000 na baadae kusambaza Maji kwa wananchi, akisema kisima hicho kilichonusuriwa kina uwezo wa kuzalisha Maji Lita 28, 000 kwa saa.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

    September 26, 2025
  • RC MAKALLA ATAKA MPANGO MKAKATI WA UTALII UKIJUMUISHA FURSA NA MAANDALIZI YA AFCON 2027...

    September 25, 2025
  • WANANCHI WALIOLALAMIKIA MGAO WA MAJI WAFURAHIA UJENZI WA TENKI JIPYA LA MAJI...

    September 24, 2025
  • RC MAKALLA: ARUSHA ITAENDELEA KUWA NA AMANI SASA NA HATA  BAADA YA UCHAGUZI...

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa