• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUTAILINDA NA KUITUNZA TRENI YETU-RC KIMANTA

Posted on: August 25th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Hassan Kimanta, amesema viongozi wa Mkoa wa Arusha watairinda treni kwa uhakika na kuiweka salama.

Ameyasema hayo alipokuwa akipokea treni ya abiria ya majaribio iliyotoka Dar es Salaam mpaka Arusha.

Treni hiyo ilisimamisha huduma zake takribani miaka 30 iliyopita, hivyo ni furaha sana kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha kuipokea treni hiyo kwa mara nyingine tena.

Kimanta amesisitiza,treni hiyo itakuza uchumi wa Mkoa kwa kurahisisha upatikanaji wa bidhaa na marighafi mbalimbli kwa gharama nafuu zaidi.

Pia, treni hiyo itaokoa muda wa safari hasa kwa wajasiliamali katika kusafirisha marighafi zao.

Akitoa taarifa fupi ya mradi wa kufufua treni, mkurugenzi wa shirika la reli Tanzania bwana Masanja Kadogosa, amesema treni hiyo niya majaribio kwa mujibu wa sheria ya usafirishaji.

Mradi huo wa ufufuaji wa treni umegharimu kiasi cha bilioni 14 kwa reli yenye urefu wa kilometa 644.8, ambapo reli hiyo kwa mara ya kwanza ilijengwa mnamo 1929.

Katibu itikadi na uwenezi Taifa wa chama cha mapinduzi (CCM) bwana Humphrey Polepole, amesema chama kimekuja kuhakikisha treni hiyo imefika salama katika mikono ya wananchi wa Mkoa wa Arusha.

Amesema,maendeleo hayo yameletwa na serikali ya awamu ya tano kwa kuhakikisha huduma za usafiri zinaboreshwa katika nchi na hasa Mkoa wa Arusha.

Ufufuaji wa treni hiyo ulianza 2017 kwa treni hiyo kuanza safari zake kutoka Dar es Salaam hadi Moshi na 2020 treni hiyo imefika Arusha.

Tangazo

  • MACHAGUZI YA WANAFUNZI KIDATO CHA TANO May 17, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NENDENI UKAZALISHE KUTUMIA FEDHA ZA TASAF

    May 19, 2022
  • ONGEZENI KASI YA UTOAJI HUDUMA BORA

    May 17, 2022
  • NENDENI MKACHANGIE FEDHA ZA LISHE

    May 16, 2022
  • WALIMU JIJI LA ARUSHA WAPONGEZWA

    May 16, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa