• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Serikali za Mitaa

MAJUKUMU YA SEKSHENI YA HUDUMA YA URATIBU NA USIMAMIZI WA MAMLAKA YA SERIKALI ZA MITAA:

Kushauri na kusimamia matumizi bora ya rasilimali fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa;

Kukuza na Kuzijengea uwezo Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kutekeleza utawala bora;

Kuwezesha mapitio ya muundo na michakato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa;

Kushiriki katika kaguzi za kawaida/kushtukiza zinazohusu utendaji kazi na majukumu wa Mamlaka za Serikali za Mitaa;

Kuzisaidia Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuandaa bajeti na matumizi;

Kuratibu na kushauri Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusiana na masuala ya kiutumishi (kuajiri, kujaza nafasi wazi, masuala ya kinidhamu, kupandisha madaraja n.k);

Kuzishauri Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusiana na masuala yoyote kiutumishi;

Kuratibu, kuandaa, kutekeleza, usimamizi na ufuatiliaji katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusiana na mkataba wa huduma kwa mteja;

Kumshauri Katibu Tawala Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa katika utekelezaji wa sheria za kazi.

 Ukusanyaji Mapato ya Ndani katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Hali ya ukusanyaji wa Mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa umeendelea kuimarika. Kwa mwaka wa fedha 2021/22 Halmashauri za Mkoa wa Arusha   zilikadiria kukusanya jumla ya shilingi 42,381,671,000 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato ya ndani na Mapato. Aidha, Kwa kipindi cha Julai hadi Machi, 2022 Halmashauri za Mkoa wa Arusha zilikusanya jumla ya shilingi 30,795,617,786 sawa na asilimia 73 ya makadirio yaliyoidhinishwa kwa kila Halmashauri kama ifuatavyo:

Na.

Halmashauri

Makisio ya mwaka 2021/22

Mapato hadi Machi, 2022

Asilimia

1

Arusha CC

23,295,000,000

18,047,921,155

77

2

Monduli DC

2,250,000,000

1,661,833,415

74

3

Ngorongoro DC

2,753,000,000

1,420,425,065

52

4

Karatu DC

3,964,000,000

3,082,619,229

78

5

Meru DC

3,499,000,000

2,655,103,478

76

6

Arusha DC

4,383,000,000

2,699,865,822

62

7

Longido DC

2,239,000,000

1,227,849,622

55


Jumla ndogo

42,383,000,000

30,795,617,786

73

Halmashauri zimetoa jumla ya shilingi bilioni 8.9 ikiwa ni asilima 40/60 ili kugharamia miradi ya maendeleo sawa na asilimia 52 ya Mapato ya Ndani hadi kuishia Machi, 2022.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa