• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

BALOZI WA SINGAPORE NCHINI TANZANI AAHIDI USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA UTALII..

Posted on: April 16th, 2024

Balozi wa Singapore nchini Tanzania Douglas Foo, akiungumza kwenye kikao cha fursa za Uwekezaji kwenye Mamlaka za Hifadhi za Taifa (TANAPA) kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jengo la Ngorongoro Jijini Arusha na kuahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuwekeza kwenye sekta ya Utalii.

Katika kikao hicho Balozi Foo amepata fursa ya kusikiliza fursa zinazopatikana Tanzania zilizowasilishwa na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), kikao chenye lengo la kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hususani kwenye maeneo hayo ya Hifadhi za Taifa.

Hata hivyo, Balozi huyo ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kuhifadhi rasilimali za asili licha ya uharibufu mkubwa wa mazingira unaoendelea duniani na kuahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania sanjari na kuwaeleza wananchi wa Singapore juu ya fursa zinazopatikana Tanzania kwenye Sekta ya Utalii ili waweze kuwekeza, lengo likiwa ni kuongeza pato la wananchi na serikali zote mbili.

"Arusha ni eneo zuri lenye nafasi kubwa yenye uoto wa asili inayosababisha hali ya nzuri ya hewa, Arusha kuna vivutio vingi vya Utalii vinavyohifadhiwa vizuri, ni mara yangu ya kwanza kufika Arusha lakini nimevutiwa na ukarimu wa wakazi wa Arusha na hali ya hewa nzuri, ninaifananisha Arusha na nchi yangu ya Singapore kwa utajiri wa rasilimali za asili, nimekuwa na safari nzuri kufika Arusha" Amebainisha Balozi Foo.

Kikao hicho, kimejumuisha wajumbe kutoka Mamlaka ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, TAWA na AICC, Sekretariet ya mkoa wa Arusha na Jijini Arusha, ambapo wamewasilisha vivutio mbalimbali vya uwekezaji kwa Balozi huyo.







Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.