• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC KIHONGOSI: ARUSHA IWE SEHEMU SALAMA YA UPENDO, AMANI NA MSHIKAMANO...

Posted on: July 1st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Kenan Laban Kihongosi  amewataka watumishi wa Umma kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano na sio kufanya kazi kwa mashindano, kwa kutambua wote wanajenga nyumba moja,  ili mmoja akiwa bora wote wawe bora na Arusha iwe salama ya upendo amani na mshikamano na kubainisha kuwa, hapendezwi kuona watu wakiharibikiwa kwenye maisha yao ya kazi.


Mhe. KIihongosi ameyasema hayo muda mfupi baada ya kuwaapisha wakuu wa wilaya ya Monduli Mhe. Gloriana Julius Kimath na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe.Mwinyi Ahmed Mwinyi, ikiwa ni jukumu lake la kwanza mara baada ya kukabidhiwa Ofisi,  Juni 30,2025.


Amesema kuwa, kila mtumishi anawajibu wa kuwatumikia wananchi kwa kufanya kazi kwa weledi mkubwa kwa  kushirikiana na kusaidiana na wengine ili kuhakikisha wanafikia malengo ya kuwaletea  wananchi  maendeleo na kuacha na tabia ya mashindano kwa wote wanatekeleza dhamana waliyopewa na kuaminia na Serikali.


"Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa bila kujali hali yake, kama viongozi tunao wajibu wa kuwahudumia watu kwa heshima kwa  kuzingatia Kanuni,  heria na taratibu za Utumishi wa Umma, tusipende kuonea watu, kwa kuwa kila mtu ana nafasi yake, tutambue kuwa tumekutanishwa kwenye kazi kwa kusudi ya Mungu, hivyo majungu na fitina hazina nafasi baina yetu".Amebainisha Mhe.Kihongosi.


Amesisitiza kuwa, katika kufanya kazi kwake, majungu na fitina viwe mwiko, kuwa hataweza kumhukumu mtu bila kufanya nae kazi, na kuongeza kuwa anatamani kuwafahamu  watu kwa uwajibikaji wao anapofanya nao kazi na sio kuambiwa maneno na mtu na mtu mwingine.


"Tusaidiane, tuhurumiane, tuheshimiane, tuambiane ukweli kwa nidhamu, kila mtu awe baraka kwa mwingine, tusifurahie wengine wakiharibikiwa, tuwe baraka kwa watu wote, kila mtu afanye kazi kwa kutambua thamani ya mwingine kwa kuwa tunajenga nyumba moja, tuweke mbali chukii huku kipaumbele chetu kikiwa ni kutatua migogoro na changamoto za wananchi wetu ili kazi iendelee.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC KIHONGOSI ATEMBELEA OFISI ZA CCM MKOA WA ARUSHA..

    July 02, 2025
  • RC KIHONGOSI AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI NA MILA; ASISITIZA KUOMBEA AMANI..

    July 02, 2025
  • RC KIHONGOSI: ARUSHA IWE SEHEMU SALAMA YA UPENDO, AMANI NA MSHIKAMANO...

    July 01, 2025
  • UAPISHO

    July 01, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.