• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

BALOZI WA UBELGIJI TANZANIA ATEMBELEA MIRADI YA USHIRIKIANO SEKTA YA KILIMO ARUSHA

Posted on: May 23rd, 2024

Balozi wa Ubelgiji nchini Tanzania, Mhe. Peter Van Acker, ametembelea miradi ya ushirikiano kwenye Sekta ya kilimo inayofadhiliwa na Serikali ya Ubeligii inayotekelezwa na Shirika lisilo la kiserikali la rikolto mkoani Arusha


Balozi Acker amelipongeza shirika hilo kwa kuendelea kusimamia miradi hiyo kwa uaminifu ili kusaidia wakulima wa Tanzania katika kuboresha afya na kuinua kipato cha wananchi na Serikali kwa ujumla.


Aidha ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea mashamba ya wakulima wanaonufaika na miradi hiyo yalipo kata za Nduruma na Mbuguni, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.


“Nimefurahi sana kutembelea miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na Nchi yangu Mkoani Arusha,kwa niaba ya Serikali ya Nchi yangu tutaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kusaidia wakulima na ninatamani kuona miradi kama hii ikifanyika kwenye maeneo mengine Nchini”. Amesema Balozi Van Acker.


Hata hivyo, Balozi Acker ameelezea furaha yake kuhusu maendeleo yanayopatikana kupitia ushirikiano huu, akisisitiza umuhimu wa kuendeleza juhudi za pamoja za kuboresha kilimo na kukuza uchumi wa vijijini.


Kwa upande wake Mratibu wa programu wa Shirika hilo la Rikolto amesema kuwa l;engo kuu la Shirika hilo ni kuongeza uzalishaji, kuboresha mifumo ya kilimo, na kusaidia wakulima kupata fursa za masoko ambapo Miradi hiyo imekuwa na mafanikio makubwa katika kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya wakulima na jamii za vijijini.


Vile vile, wakulima hao wameweka wazi jinsi shirika hilo lisilo la kiserikali linavyowasaidia katika kutoa elimu na kuwawezesha katika kuzalisha mazao yenye ubora katika masoko ya nje na ndani ya nchi sambamba na kuwaunganisha na wanunuzi wa mazao hayo katika maeneo tofauti tofauti.


Awali, Miradi ya ushirikiano wa kilimo inayofadhiliwa na Ubelgiji inasaidia wakulima wa Tanzania kuboresha maisha yao na kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.