• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

FEDHA ZA LISHE ZIPO ZAKUTOSHA-DKT.KIHAMIA

Posted on: March 4th, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt. Athumani Kihamia amesema Serikali ya awamu ya sita imeshatoka fedha zote za lishe kwa Mkoa wa Arusha.

Ameyasema hayo alipokuwa akifunga kikao cha kamati ya lishe cha Mkoa, kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

"Kilichobaki kwa sasa ni jukumu letu la kutekeleza wajibu wetu kwa kuhakikisha viashiria vyote vya afya katika lishe vinatekelezwa katika ngazi za Halmashauri".

Aidha, Dkt.Kihamia amewataka wadau wa lishe waendelee kutekeleza wajibu wao kwa nafasi yao na Serikali itafanya kwa nafasi yake ili kuinua zaidi swala zima la lishe katika Mkoa.

Nae,Afisa lishe Mkoa wa Arusha Bi. Rose Mauya amesema kwa ngazi ya Mkoa wameshajipanga kufanya ufuatiliaji wa karibu zaidi katika halmashauri zote ili kuhakikisha wanatoa fedha za lishe kwa watoto chini ya miaka 5.

Mkoa amewawekea Halmashauri utaratibu wa kuzipima kwa kutumia kadi maalumu zenye viashiria  vyote vya lishe, haya yamesemwa na Afisa ustawi wa Jamii bwana Denis Mgiye katika kikao hicho.

Vile vile, Dkt. Frida Mokiti  kutoka kanisa katoriki ameishauri Serikali kuongeza kasi ya usambazaji wa dawa za kuongeza damu katika vituo binafsi ili kuwezesha huduma hiyo kuwafikia watu wengi zaidi.

Mwakilishi kutoka taasisi inayojishughulisha na wanawake na watoto( center for women and children development) Bi. Hindi mbwego. amesema ni wakati sasa umefikia kwa watoto wa shule kupatiwa chakula wakiwa mashuleni ili waweze kuzingatia masomo yao.

Kamati ya lishe ya Mkoa imekutana na kufanya tathimini ya hali ya lishe kwa Mkoa wa Arusha na kuweka mikakatika ya kuondoa udumavu.



Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.