• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

FUFUENI VITENGO VYA KUDHIBITI MIMEA-MAJALIWA

Posted on: March 5th, 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Kilimo kufufua kitengo cha kudhibiti mimea ili kiweze kusimamia majanga mbalimbali yanayoweza kujitokeza katika nchi.

Ameyasema hayo alipokuwa akikagua eneo lililovamiwa na Nzige katika kata ya Engaruka wilayani Monduli.

Amesema kufufuliwa kwa Kitengo hicho kutasaidia kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya Nzige,ambayo kwa sasa yanaendelea vizuri na baadhi ya maeneo Nzige wameisha.

“Wananchi toeni taarifa pindi mkiona nzige katika maeneo yenu, ili serikali ichukue hatua za haraka kudhibiti.”

Majaliwa amesisitiza ushirikiano uwendelee katika kupambana na janga la Nzige hasa na nchi jirani.

Akitoa taarifa ya hali ya mapambao ya Nzige katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda amesema, Nzige kwa mara ya kwanza waliingia nchini katika wilaya ya Simanjiro na wakadhibitiwa wote na mara ya pili waliingia wilayani Longido.

Kwa sasa wilaya za Simanjiro, Siha na Mwanga Nzige wamedhibitiwa wote na katika Wilaya ya Longido tathimini itatolewa ili kufahamu kama Nzige hao wameisha au bado pia nae neo la Engaruka.

Profesa Mkenda amesema zoezi la kupambana na Nzige limeenda vizuri kwasababu kulikuwa na ushirikiano mziuri sana baina ya Serikali, wananchi na hata nchi Rafiki kama Zambia, Uganda na Zimbabwe.

Amesema zoezi kubwa lilipo kwa sasa ni wataalamu wanaendelea kufuatilia yale maeneo ambayo Nzige wanahisiwa waloitaga mayai ili waweze kuyaangamiza kabla hayajakomaa na kutoa Nzige wapya.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Kimanta Pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joseph Mkirikiti na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwira wamesema zoezi la kuwaangamiza Nzige katika Mikoa yao limekuwa rahisi kwasababu wananchi wametoa ushirikiano mkubwa sana hasa kwa kutoa taarifa pale wanapohisi kuna uvamizi wa Nzige katika maeneo yao.

Mhe. Majaliwa ameridhishwa na namna zoezi la kupambana na Nzige lilivyofanyka katika Mikoa hiyo mitatu ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara na amewata wataalamu kuendelea kufuatilia uvamizi huo wa Nzige katika maeneo mbalimbali ya Nchi.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.