• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

HAKUNA HAKI BILA WAJIBU

Posted on: March 21st, 2019

Watumishi wa Mkoa wa Arusha wahimizwa kufanya kazi kwa bidii kwa kuzingatia maadili ya utumishi watu ili kuleta maendeleo katika Mkoa, kwani hakuna haki bila wajibu.

Yamesemwa hayo na Katibu Tawala wa Mkoa bwana Richard Kwitega alipokuwa akifungua kikao cha baraza la watumishi wa Mkoa wa Arusha kwa lengo la kujadili na kupitisha bajeti kwa mwaka 2019/2020.

Kwitega amesema,Serikali ya awamu ya tano imejikita zaidi katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi hivyo watumishi wa umma wanapaswa kuisimamia kwa umakini.

Miradi yote ya maendeleo inatekelezwa kwa kuzingatia bajeti za Serikali zinazopitishwa kila mwaka na kwa mwaka wa fedha 2019/2020 baraza la watumishi mkoa wa Arusha imepitisha bajeti ya kiasi cha shilingi Bilioni 7 kwa ajili ya matumizi mbalimbali  ya ofisi na shughuli mbalimbali ya maendeleo.

Nae afisa kazi kutoka ofisi ya Kamishina wa kazi Mkoa wa Arusha bwana Emmanuel Mwita amesema, baraza hili linamanufa sana kwa watumishi wa umma kwani inawasaidia kufahamu mambo mbalimbali katika Mkoa.

Pia, watumishi wanapata nafasi ya kufahamu bajeti nzima na matumizi yake katika Mkoa na kama kutakuwa na mapungufu baraza hili linawapa nafasi ya kupendekeza na kushauri.

Katibu wa TUGHE Mkoa wa Arusha bwana Magero Samweli amesema,baraza hili linasaidia kuweka mazingira ya wazi kati ya mwajiri na mwajiriwa ambapo mwajiriwa anapata nafasi ya kufahamu kile  kinachotekelezwa na Serikali yao.

Pia, amesema baraza hili nila muhimu sana kwa watumishi kwani inaondoa sitofahamu kwa watumishi kwani kila kitu kinakuwa wazi na watafahamu namna changamoto zoa zitakavyotatuliwa na kuongeza ufanisi kwao.

Baraza la watumishi Mkoa wa Arusha limejumuisha wakuu wa idara, vitengo na baadhi ya watumishi kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Makatibu Tawala wa Wilaya na baadhi ya Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Arusha.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.