• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

JAFO AFANYA ZIARA LONGIDO

Posted on: November 14th, 2018

Waziri ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mheshimiwa Selemani Jafo amezitaka wilaya zote nchini kuanza mara moja ujenzi wa hospitali za wilaya.

Ameyasema hayo alipotembelea hospitali ya Longido na Eworendeke wilayani Longido mkoani Arusha na kufurahishwa na ujenzi unavyoendelea.

“Serikali kwa sasa imeshatoa milioni 500 za ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Longido na mpaka ikamilike itaitaji kiasi cha shilingi bilioni 1.5, hivyo kwa fedha hizo zinatosha kuanza ujenzi”, alisema.

Amesema amefurahishwa sana na ujenzi wa hospitali zote katika mkoa wa Arusha kwa kiwango kikubwa na ameshawishika kuona hata pia ujenzi wa hospitali za wilaya utakuwa mzuri.

Ameagiza hadi kufikia Novemba 14, 2018, ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Longido uwe umeshaanza kwa kufuata mchoro wa ramani uliotolewa na TAMISEMI ili hospitali zote za wilaya nchini ziwe na mfanano.

Aidha, amewahasa wahandisi kuhakikisha wanasimamia ujenzi kwa umakini kwani amebaini baadhi yao hukaa maofisini mda mwingi badala ya kwenda kusimamia ujenzi.

Ameziagiza wilaya zote nchini kufikia Novemba 30, 2018 majengo yote yawe yamekamilika ili kuruhusu huduma za afya kuanza mara moja.

Nae Afisa Mtendaji kata ya Kimokouwa  Victa Kabati, amesema kituo cha afya cha Eworendeke kitakuwa msaada mkubwa sana kwa kutoa huduma ya afya kwa wananchi wa kata hiyo na eneo la Namanga kwa ujumla.

Wananchi wengi wa kata hiyo wamekuwa wakipata shida ya kupata huduma za afya na kuwalazimu kwenda hadi nchi ya jirani, lakini kwa kukamilika kwa kituo hicho wengi watakuwa wamesogezewa huduma karibu na kuondoa usumbufu wa kuzitafuta katika umbali mrefu.

Akitoa pongezi kwa serikali ya wilaya mwenyekiti wa kamati ya ujezi John Shinabaki, amesema ujenzi umeenda vizuri kwa kiasi kikubwa kwani fedha zilikuwa zinapatikana kwa wakati.

Amewataka wananchi wa kata ya Kimokouwa kushirikiana bega kwa bega na viongozi wa wilaya ili ujenzi ukamilike haraka na duhuma zianze kutolewa.

Waziri Jafo amefanya ziara ya siku moja mkoani Arusha katika wilaya ya Londigo kwa kukagua hospitali mbili za Longido na Eworendeke na kupongeza uongozi wa Mkoa wa Arusha kwa kusimamia ujenzi mzuri wa hospitali katika wilaya zote na kuzitaka wilaya nyingine kuiga mfano huo.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.