• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WELCOME UHURU TOUCH ARUSHA

Posted on: June 4th, 2019

          MWENGE WA UHURU MKOANI ARUSHA 2019.

Mkoa wa Arusha unatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru tarehe 6 Juni, 2019 katika Wilaya ya Ngorongoro kata ya Ololosokwani ukit5okea Mkoa wa Mara.

Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Wilaya 6 za Mkoa wa Arusha na Halmashauri zake 7, ukianzia Wilaya ya Ngorongoro, Longido, Arusha,Meru, Jiji la Arusha,Monduli na kumalizia wilaya ya Karatu.

Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani Arusha utafanya kazi ya kuweka mawe ya msingi, kuzindua, kufungua na kukagua miradi 57 ya maendeleo ya wananchi yenye thamani ya Tshs. Bilioni Mia Tano Sabini na Nane Milioni Mia Tatu Sitini na Laki Tisa na Arobaini Tano Elfu, na Mia Moja Sabini na Mbili na Senti Hamsini (578,360,945,172.50) kwa mchanganuo ufuatao:-

  • Mchango wa Serikali Kuu ni Tshs. 541,725,410,035.85/=
  • Mchango ya Halmashauri ni Tshs. 885,811,490.00/=
  • Mchango wa wadau/wahisani ni Tshs. 10,252,877,739.65/=
  • Mchango wa nguvu za Wananchi ni Tshs. 577,190,907.00/=
  • Mchango wa wawekezaji wa ndani ni Tshs.   24,919,655,000.00/=

Miradi 15 itawekwa jiwe la msingi, miradi 4 itafunguliwa, miradi 12 itazinduliwa na miradi 26 itatembelewa na kukaguliwa kuona maendeleo yake. Miradi hii ni ya maji, afya, ujenzi wa barabara, elimu, utawala, kilimo, uvuvi, ufugaji, uhifadhi wa mazingira na miradi mingineyo.

Aidha mbio hizi zitakagua na kupokea taarifa ya ukamilishaji na uendelevu wa miradi iliyopitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 pamoja na uwezeshaji wa vijana na watu wenye ulemavu kiuchumi kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri zetu kwa mgawanyo wa 4% kwa vijana na 2% kwa watu wenye ulemavu.

Ujumbe wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 ni “Maji ni haki ya kila Mtu, tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa”.

Aidha kaulimbiu hii inaambatana na ujumbe wa kudumu kuhusu mapambano dhidi ya:-

VVU/UKIMWI, chini ya kauli Mbiu isemayo “Pima, Jitambue, Ishi”

Malaria, chini ya kauli Mbiu isemayo “Nipo tayari kutokomeza Malaria, wewe Je?”

Dawa za kulevya, chini ya kaulimbiu isemayo “Tujenge Maisha Yetu, Jamii Yetu na Utu Wetu bila Dawa za Kulevya”

Rushwa, chini ya kaulimbiu isemayo “Kataa Rushwa, Jenga Tanzania”

Mwenge Uhuru utakabidhiwa kwa Mkoa wa Manyara mnamo tarehe 13 Juni, 2019.


Imeandaliwa na;

Kitengo cha Habari na Uhusiano,

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Arusha.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.