• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

KONGAMANO LA VIONGOZI WA DINI KUMSHUKURU RAIS SAMIA

Posted on: June 2nd, 2022

"Watumishi tutaenda kuwajibika katika majukumu yetu na kuwapa ushirikiano mkubwa ili tulete maendeleo katika Mkoa wetu".

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella alipokuwa akizungumza kwenye kongamano la viongozi wa dini na kijamii la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan, Katika kituo cha Mikutano AICC Jijini Arusha.

Amesema yote yaliyozungumzwa na viongozi hao yamesaidia katika kuonesha namna ya kuwakumbusha majukumu yao.

Aidha, amewahakikishia viongozi hao kuwa Serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwao na kudumisha amani ya Mkoa.

 Nae, Mwenyekiti Msaidizi wa Jumuiya ya Maridhiano Taifa Askofu Dkt.Israel Maasa amesema watumishi wa umma wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa alizozifanya katika kuboresha maslahi ya watumishi hao.

Juhudi anazozionesha Mhe. Rais ni kutokana na utiifu kwa Mungu alionao ambao umemsaidia kuendesha nchi kwa amani.

Sheikh wa BAKWATA Mkoa wa Arusha Shaban Bin Jumaa amesema kitendo Cha Rais Samia kukutana na vyama vya siasa hasa vya upinzani kumeonesha mashirikiano wa hali ya juu kwa maslahi ya Taifa.

Nae Kiongozi Mkuu wa kimila kutoka kabila la Maasai Laigwanan Ole Kisongo amewataka viongozi wa Mkoa wafanye kazi kwa uwaminifu, amani na mshikamano.

Amesema Rais Samia ni kiongozi wa kujenga mahusiano hivyo wamuunge Mkono kwa ujasiri zaidi kwani ameweza kuondoa michango ya ujenzi kwa wananchi.

Kongamano la viongozi wa Jumuiya ya Maridhiano limefanyika maalumu la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa mambo mazuri aliyoyafanya ikiwemo uzinduzi wa filamu ya Royal Tour inayoenda kukuza utalii kwa Mkoa, ujenzi wa vyumba vya Madarasa na vituo vya afya na hasa juhudi za kumalizia miradi ya maendeleo iliyoanzishwa na Serikali ya awamu ya Tano.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.