• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO (UTI), MALARIA, SABABU YA UGONJWA WA FIGO...

Posted on: June 25th, 2024

Tafiti zinaonesha ongezeko kubwa la ugonjwa wa figo, licha ya kutokana na magonjwa mengine mengi, mabukizi kwenye njia ya mkojo (UTI) na ugonjwa wa Malaria imeonekana ni sababu ya ugonjwa wa figo, hivyo, watanzania wametakiwa kujinga ili kupambana na maambukizi ya magonjwa hayo.


Akizungumza kwenye Kliniki maalum ya Matibabu ya Madakari Bingwa na wabobezi inayozndelea Mkoani Arusha, ikiwa ni siku ya pili ya kliniki hiyo, Daktari bingwa wa magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Saifee Jijini Dar Es salaam Dkt. Mercy Mamunyi, ameweka wazi kuwa, magonjwa ya figo yanatokana na maambukizi kwenye njia ya mkojo pamoja na ugonjwa wa malaria na kuwaaka watanzania kuchukua tahadhari kubwa kwa magonjwa hayo.


Pia, Dkt. Mercy ameutaja ukanda wa Kaskazini kuwa ni miongoni mwa Kanda zinazoongoza kwa magonjwa ya Shinikizo la juu la damu pamoja na kisukari, Magonjwa ambayo yamekuwa sababu ya kuongezeka kwa hatari ya kupata magonjwa ya figo kwa watu wengi.


Aidha, ameshauri Watanzania kuchukua tahadhari ya matumizi ya dawa za kienyeji kupitiliza, kutotumia dawa za hospitalini bila ushauri wa daktari, zaidi kuwa na utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kujitambua na kupata matibabu ya haraka na kwa gharama nafuu na kuepukana na madhara zaidi.


Kwa mujibu wa Utafiti wa Shirika la India Nephrology, watu Milioni 84 duniani kote wanatajwa kuwa wanaugua magonjwa ya figo huku shirika la Afya duniani WHO likitaja magonjwa ya figo kuwa nafasi saba kati ya kumi kwenye kusababisha vifo vya watu wengi zaidi duniani kutokana na kutozingatiwa kwa dalili za mwanzoni za ugonjwa huo.


Ikiwa ni siku ya pili ya Kambi maalum ya Matibabu bure inayoendelea kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Jijini Arusha, kambi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, chini ya uongozi mahiri wa Mhe.Paul Christian Makonda @baba_keagan maelfu ya wananchi wameendelea  kunufaika kwa kupata huduma za vipimo, matibabu na dawa bure ikiwa ni utekelzaji wa agizo la Mhe. Rais Dkt. @samia_suluhu_hassan la kusogeza huduma za aya karibu na wananchi hususani wasio na uwezo wa kumudu gharama kubwa za matibabu ya madaktari bingwa.



Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.