• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Maofisa Habari na mawasiliano nchini wametakiwa kuelewa dhana nzima ya akili hisia na namna ya kukabiliana na changamoto wanazokutana nazo sehemu za kazi na katika familia.

Posted on: February 29th, 2024


Maofisa Habari na mawasiliano nchini wametakiwa kuelewa dhana nzima ya akili hisia na namna ya kukabiliana na changamoto wanazokutana nazo sehemu za kazi na katika familia.


Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Prof. Elisante Ole Gabriel wakati akiwasilisha mada kwenye mkutano wa mwaka wa Chama cha Maofisa Mawasiliano Serikalini unaofanyika kwenye ukumbi wa AICC jijini Arusha.


Prof. Gabriel amesema kwamba dhana ya akili hisia hivi sasa imeanza kupata kasi kwenye ngazi ya Serikali hivyo inasaifia ni namna gani unaweza kufanya kazi pamoja na kuwajibika sehemu ya kazi.


“Watu wa Mawasiliano mna umuhimu mkubwa sana katika dhana hii kwani inawasaidia muwasiliane vipi na watu”.


Aidha, alisema ni vyema kuweka mazingira mazuri sehemu ya kazi na kwenye maisha yao ya kawaida kwa familia kwani muda zaidi ya 90% ya maisha yao wanayatumia kazini


“Ni lazima mjitahidi kukabiliana na changamoto katika majukumu yenu na hata katika familia zetu ,pia epukeni kuwa chanzo cha msongo wa mawazo kwa watumishi wengine ili isiwaletee tatizo katika afya zenu”.


Hata hivyo amewataka maofisa hao kuwasaidia viongozi na jamii inayowazunguka kuzuia akili hadi ili isiwaletee madhara katika utendaji wao wa kazi wa kıla siku

May be an image of 1 person, dais and text that says 'B TAGCO'

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.