• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MBUNGE WA NGORONGORO AKABIDHIWA GARI LA WAGONJWA TOYOTA  LAND CRUSER - AMBULANCE..

Posted on: December 5th, 2023

*MAKABIDHIANAO*

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K Mongella amemkabidhi funguo za gari, aina ya Toyota Land Cruser - Ambulance, Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro Mhe. Emmanuel Ole Shangay, wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya magari ya Afya, iliyofanyika kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha leo tarehe 05.12.2023.


Akikabidhi Magari hayo, Mkuu huyo wa mkoa, amewasihi viongozi wa ngazi zote, kusimamia utunzaji na matumizi sahihi ya vitendea kazi hivyo, ili viweze kufanya kazi iliyokusudiwa na Serikali ya kutoa huduma bora kwa wananchi na sio kinyume na hivyo, huku akiwasisitiza kutambua kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassani ya kufikisha huduma karibu na wananchi.


"Viongozi mnalo jukumu kubwa la kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki, wafuatilieni watendaji wa Serikali katika maeneo yenu, hakikisheni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi unawanufaisha wananchi, wananchi wanahitaji suluhu ya changamoto zao kupitia sisi, wahakikishieni utendaji wa serikali yao kwa vitendo" Ameweka wazi Mhe. Mongella.


Hata hivyo Mhe. Ole Shangay, ameishukuru serikali kwa kuzingatia umuhimu wa huduma za afya kwa wanachi wa Ngorongoro, ambao baadhi yao, wanaishi kwenye ameneo ambayo hayafikiki kwa wepesi na kusababisha wakati mwingije kushindwa kupata huduma stahiki kwa wakati.


Amesema kuwa, uwepo wa gari la dharura pamoja gari la Kliniki  tembezi,mitasaidia utoaji na upatikanaji wa huduma za afya kwa wakati, huku akiamini zitapunguza uwepo wa vifo visivyo vya lazima hususani kwa watoto na wanawake wajawazito ambao wanahitaji huduma za dharura na haraka wakati wote.


"Wapo watu walipoteza maisha Ngorongoro kwa kukosa ama kuchelewa kupata huduma za afya kwa wakati, kulikosababishwa na changamoto ya jiografia ya maeneo yetu, tunaamini uwepo na upatikanaji wa huduma za dharua utapunguza vifo visivyo vya lazima na wananchi wa Ngorongoro wataendela kuiamini serikali yao makini ya awamu ya sita, chini ya Dkt. Samia Suluhu" Ameweka wazi Mbunge huyo wa Ngorongoro


#ArushaFursaLukiki






Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.