• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MIAKA 6O YA UHURU IWE CHACHU YA MABADILIKO KWENU

Posted on: December 4th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amevitaka vikundi vya wakulima na wafugaji Mkoa wa Arusha (MVIWAARUSHA) kubadili vikundi hivyo viwe vya nguvu ya kiuchumi.

Ushauri huo ameutoa alipokuwa akifungua mkutano Mkuu wa 9 wa mtandao wa vikundi vya wakulima na wafugaji wa Mkoa wa Arusha,katika chuo cha misitu.

Amesema vikundi hivyo vikiwa na nguvu ya kiuchumi itasaidia hata uchumi wa mtu mmoja mmoja kuimarika, kisha wakifamilia na nchi kwa ujumla.

Wakiwa wanasherekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara na miaka 20 ya umoja huo wajitaidia kubadili mitazamo ya namna ya uwendeshaji wa vikundi hivyo ili viweze kuleta tija.

Amewashauri wakulima kubadili namna ya uuzaji mazao yao kwa kuyachakata kwanza na kuyaweka katika vifungashio vizuri vyenye lebo na kukuza nje ya nchi badala ya kuyauza yanapotoka shambani tu.

Vile vile wafugaji wameshauriwa kufuga kisasa hasa kwa kuanzishi Viwanda vidogovidogo kupitia vikundi vyao vitakavyoweza kuchakata mazao yatokanayo na mifugo na kuyauza.

Mongella amesisitiza kundi la wakulima na wafugaji ni kundi linalotegemewa sana katika kuleta mchango mkubwa wa maendeleo hivyo wanatakiwa kubadilika na kufanya kazi zao kisasa zaidi.

Mwenyekiti wa MVIWAARUSHA bwana John Mayo amesema mtandao huo wa wakulima na wafugaji unavikundi takribani 457 vyenye wanachama 11,089 kutoka katika Halmashauri ya Karatu, Arusha, Meru, Monduli, Longido na Ngorongoro.

Amesema mtandao huo umewasaidia wakulima wengi kufanya kazi kwa amani na mashikamano.

Nae, Mratibu wa MVIWAARUSHA bwana Richard Masandika amesema mtandao huo umejikita zaidi katika kuwainua wakulima wadogo ambao wanamchango mkubwa katika kuzalisha chakula katika nchi kwa asilimia 75.

Mpaka sasa watu zaidi ya asilimia 60 hadi 65 wamejikita katika shughuli za Kilimo na ufugaji kwa nchi nzima.

MVIWAARUSHA, wamekutana katika mkutano wao wa mwaka kwa lengo la kujengeana uwezo kupitia changamoto walizonazo na pia kuchagua uongozi mpya wa mtandao huo.



Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.