• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MIFUMO MIPYA YA UTENDAJI KAZI SERIKALI INAENDA KUWABANA WATUMISHI WASIOFANYA KAZI..

Posted on: December 16th, 2023

Na Elifuraha Laizer


Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete (MB), amesema, matumizi ya mfumo wa PIPIMS, PEPMIS na HR Assesment  katika Utumishi wa Umma nchini, inakuja kufanya tathmini kwa watumishi wa Umma pamoja na kuwabana Watumishi wasiotekeleza majukumu yao na kufikia malengo yaliyowekwa.


Mhe.Kikwete amesema hayo, wakati akizungumza  na Watumishi wa  Ofisi ya  Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kwenye kikao kifupi kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha , 15 Desemba 2023.


Ameeleza kuwa, Serikali imedhamiria kuimarisha Utumishi wa Umma kwa kuhimiza uwajibikaji na kuhakikisha, Taifa linakuwa na utumishi wa Umma unaopimika kwa kumpima Mtumishi mmoja mmoja pamoja  na Taasisi kwa ujumla.


"Mfumo wa PEPMIS umekuja kuwa mbadala wa OPRAS, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amelenga kuimarisha mifumo ya uwajibikaji, inayowezesha viongozi na watumishi wa Umma kuendelea kutekeleza majukumu yao, kwa ufanisi wakati na mahali popote, na zaidi kuwabana watumishi wanaopenda kukaa ofisini pasipo kufanya kazi" Amebainisha Naibu Waziri huyo


Aidha, Mhe. Kikwete amewataka Maafisa Utumishi na Maafisa Tawala, kuacha kukaa ofisini badala yake,  watembelee maeneo yote ya kazi, na kusikiliza changamoto zinaziwakabili watumishi walio chini yao na kuweza kuzitatua kwa wakati.


Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe.John V.K Mongela, amemshukuru Naibu Waziri huyo kwa kufuatilia utoaji wa mafunzo unaoendelea katika mkoa huo, na kusisitiza kuwa, kutokana na kukua kwa teknolojia, zama hizi hazihitaji watu wenye misuli badala yake wenye kuwajibika katika kazi.


Ameongeza kuwa, mafunzo hayo yamekuja wakati muafaka,  ambapo Maafisa Tawala, Utumishi na Rasilimali Watu, watabadilika kuendana na teknolojia na kuachana na utaratibu wao wa utendaji kazi wa kizamani.


Hata hivyo ametumia fursa hiyo kuiomba Ofisi ya Rais,  UTUMISHI na Utawala Bora kuwanoa upya Maafisa Tawala, Utumishi na Rasilimali Watu,  wa mikoa na Halmashauri kwani utendaji wapo ambao utendaji kazi wao, sio wa kuridhisha, kwa kuzingatia, wao ndo wenye jukumu la kuwasimamia watumishi wengine.

#ArushaFursaLukuki

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.