• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MKURUGENZI WA UN WOMEN NA RC MAKONDA, WAJADILI USHIRIKIANO KATIKA MASUALA YA KIJINSIA

Posted on: January 22nd, 2025

Mkurugenzi wa Nchi wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake (UN Women), Hodan Addou, amefanya ziara Mkoani Arusha ambapo amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, kujadili masuala muhimu yanayohusu usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika masuala ya kiuchumi.



Katika mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa huo leo tarehe 22 Januari, 2024, Mhe. Makonda amesema kuwa, Mkoa wa Arusha umekuwa ukiendesha shughuli za kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na kuzuia masuala ya ukatili wa Kijinsia kwa wanawake na Watoto na uhamasishaji wa wanawake kushiriki katika masuala ya Uongozi wa ngazi mbalimbali.



Mhe. Makonda ameongeza kuwa, Kupitia Mradi wa UN WOMEN ujulikanao kama WLER “Strengthening Women And Girls’ Meaningful Participation, Leadership, And Economic Rights”.  Ulionufaisha Halmashauri tatu (3) za Mkoa wa Arusha wanawake wamekuwa wakipatiwa elimu kuhusu masuala ya kiuchumi na kutojihusisha na mikopo umiza badala yake kutumia fursa ya Mikopo isiyo na riba ya 10% inayotolewa kwenye Halmashauri zote Nchini.



“Tuna dhamira ya kuhakikisha kuwa wanawake na wasichana wa Arusha wanapewa nafasi za kiuchumi, kijamii, na elimu. Tunaamini kuwa kwa kushirikiana na UN Women, tunaweza kufanya mabadiliko makubwa,” amesema Mhe. Makonda.



Kwa upande wake Mkurugenzi Hodan Addou amesema kuwa UN Women imekuwa ikifanya kazi kwa karibu na Serikali katika kuhakikisha kuwa wanawake wanapata nafasi sawa katika sekta zote za maendeleo na kusisitiza umuhimu wa kushirikiana katika mipango ya maendeleo jumuishi inayozingatia mahitaji ya wanawake vijijini na wale walioko katika mazingira magumu.



“Uwezeshaji wa wanawake si tu suala la haki za binadamu bali ni msingi wa maendeleo endelevu na tunafurahi kuona Mkoa wa Arusha ukichukua hatua madhubuti katika kusimamia usawa wa kijinsia,” amesema Bi. Addou.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.