• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNDA TUME YA UCHUNGUZI, KUCHUNGUZA CHANZO CHA AJALI YA MOTO ULIOTEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI ENDUIMENT

Posted on: August 27th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mheshimiwa Marco Ng'umbi ameunda tume ya uchunguzi ili kujua nini chanzo kilichopelekea moto ulioteketeza na kuharibu bweni la wasichana katika shule ya Sekondari Enduiment, 



Ajali hiyo ya moto imetokea  shuleni hapo Enduiment usiku wa Tarehe 26/8/2024, ambapo wananchi wa eneo hilo la Enduiment wakishirikiana na vijiji vya jirani walishirikiana kwa bidii ili kuzima moto huo bila mafanikio .



Bweni hilo la wasichana Enduiment linabeba zaidi ya wanafunzi 145,ambapo wakati wa moto huo unatokea wanafunzi walikuwa madarasani wakijiandaa na mitihani inayoendelea shuleni hapo 



Aidha mkuu wa shule ya Sekondari Enduiment Mwalimu Hassan Hassan amezungumza na viongozi pamoja na wananchi waliofika mahali hapo na kueleza kuwa ,chanzo cha moto huo bado hakijulikani.Na yeye kama Mkuu alipokea taarifa ya uwepo wa moto huo kwa mwanafunzi aliekuwa anaumwa na amepumzika katika moja ya vyumba kwenye bweni hilo



Mwalimu Hassan ameendelea kusema baada ya kusikia taarifa hiyo walichukua hatua ya kupiga kelele na kelele zilizozaa matunda kwani wanafunzi wananchi wa maemeo ya karibu walifika kwa haraka na kuanza kufanya jitihada ya kuuzima moto huo kwa kutumia michanga na maji .



Sambamba na jitihada hizo zote ila bado hazikuzaa matunda kwani moto ulikuwa mkubwa na upepo ulikuwa mkali kiasi cha kushindwa kuokoa mali zilizopo kwenye bweni hilo zikiwemo vitanda ,magondoro na masanduku ya wanafunzi hao wa jinsia ya kike.



"Kwakweli vitu vingi vimeteketea mali zote za wanafunzi zimeharibika tumeokoa magodoro yasiyozidi hamsini tu"Alisema Mwalimu Hassan



 Mkuu wa Wilaya ya Longido Mheshimiwa Ng'umbi amewaomba wanafunzi, Walimu, wazazi pamoja na wananchi kuwa na subira na utulivu wakati Serikali inafanya uchunguzi juu ya moto huo na kutafuta namna ya kurejesha hali nzuri ya mazingira ya kuwawezesha wanafunzi hao kuendelea na shughuli zao za kawaida.



Ajai za moto zimekuwa tishio kwenye maeneo mengi,wananchi wanapaswa kuwa na uelewa juu ya namna ya kukabiliana na majanga ambayo yamekuwa tishio kwa binadamu na mali zao.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.