• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Molvaro yakabizi mifuko 300 ya siment

Posted on: February 1st, 2019

Mkoa wa  Arusha utatumia matokea ya mtihani wa Moko kwa kidato cha nne kama ishara ya  kufahamu kiwango cha ufaulu kwa mtihani wa Kitaifa na hii itasaidia kufanya maandalizi mapema.

Ameyasema hayo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo alipokuwa akipokea mifuko 300 ya siment kutoka kwa Molvaro Logdes and Tented camps itakayosaidi katika ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza kwa halmashauri ya Longido,Monduli na Arumeru.

Amesema kipaombele cha kwanza kwa Mkoa wa Arusha ni Elimu na ndipo vinafuata vingine kama vile Afya, Miundombinu na Madini, kwa kuliona hilo Mkoa ukaamua kuongeza nguvu zaidi katika ujenzi wa madarasa ili hadi kufikia mwisho wa mwezi Februari,2019 wanafunzi wote waliofaulu wawe wameshaanza masomo yao.

Gambo amesema katika mifuko hiyo 300 ya siment kila Wilaya itapata mifuko 100 kwa wilaya hizo tatu na simenti hiyo ikatumike kama ilivyopangwa kwa ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza.

Akikabidhi mifuko hiyo Mtendaji Mkuu wa Molvaro Lodges Mwalimu Musa amesema,sababu kubwa iliyoisukuma kampuni kutoa mifuko hiyo ni uhitaji  mkubwa wa madarasa kwani wanafunzi wengi wamefaulu kuingia kidato cha kwanza.

Amewasii hata makampuni mengine nao kuchangia zoezi hili la ujenzi wa madarasa kwani jamii wanazoishi zinawasaida kwa kiasi kikubwa katika huduma zao kwani wote wanaishi kwa kutegemeana.

Akitoa shukrani za dhani kwa Mkuu wa Mkoa na kampuni ya Molvaro mkuu wa wilaya ya Longido Frank Mwaisombe,amesema mifuko hiyo 100 ya simenti itasaidia sana katika ujenzi wa madarasa kwani wilaya yake ilikuwa na iwitaji wa madarasa 16 na mpaka sasa wameshajenga 9, hivyo simenti hiyo itasaida zaidi kumalizia madarasa yaliyobaki.

Nae Katibu Tawala wa Wilaya ya Arumeru Mwalimu James Mtembe kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo Jerry Muro ameshukuru kwa wilaya yake kukumbukwa katika mgao huo wa mifuko 100 ambapo 50 itaenda halmashauri ya Arusha na 50 halmshauri ya Meru ili ikakamilishe ujenzi wa madarasa kwenye maeneo mbalimbali yaliyobaki.

Mkoa wa Arusha ulikuwa na uwitaji wa madarasa zaidi ya 100 kwa ufaulu wa wanafunzi zaidi ya 20,000 na waliokuwa wamekosa nafasi ya shuleni zaidi ya elfu 17 kwa mkoa mzima hivyo ikapelekea juhudu za lazima kufanyika ili kujenga madarasa hayo na mpaka sasa ujenzi unaendelea maeneo mbalimbali.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.