• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

NZIGE WADHIBITIWA KWA ZAIDI YA 70% WILAYANI LONGIDO

Posted on: February 25th, 2021

Wadudu aina ya Nzige waliokuwa wamevamia pori Wilayani Longido wamedhibitiwa kwa zaidi ya 70%, baada ya kunyunyuziwa dawa ya kuwauwa.

Nzige hao waliovamia pori la Kijiji cha Kimokouwa na Kijiji cha Sinya wilayani humo wakitokea Nchi jirani ya Kenya, hawakuleta madhara yoyote katika maeneo hayo.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Kimanta amekagua eneo la Kimokouwa lililovamiwa na Nzige hao na kujionea njinsi wadudu hau walivyouwawa kwa kupuliziwa dawa.

Kimanta ameishukuru Wizara ya Kilimo, Taasisi ya utafiti wa viwatilifu katika ukanda wa Kitropiki (TPRI),Viongozi wa Wilaya ya Longido na wananchi kwa ujumla kwa ushirikiano mkubwa waliouwonesha hadi kufanikiwa kuwadhibiti Nzige kwa kiasi kikubwa.

Akitoa taarifa ya namna zoezi la udhibiti Nzige lilivyokuwa kwa Mkuu wa Mkoa,bwana Oshingi Shila mtalaamu kutoka TPRI amesema, Nzige hao walifika katika Kijiji cha Oriendeki na kundi la pili lilifika katika Kijiji cha Kimokouwa na kwenda hadi Kijiji cha Sinya.

Bwana Oshingi ameeleza kuwa Nzige hao hawajaleta madhara yoyote kwani walikuwa bado kwenye hatua za ukuaji hivyo hawakuwa na nguvu ya kuharibu mazao katika eneo hilo.

Amesema zoezi la kuwauwa lilifanyika kwa kunyunyuzia dawa kwa ndege kwa kushirikiana na shirika la Chakula Duniani (FAO) na kufanikiwa kuwadhibiti kwa zaidi ya asilimia 70 na bado wataalamu wanaendelea kulifuatilia eneo hilo ili kujiridhisha kama Nzige wote wamedhibitiwa.

Bwana Daudi Saloon ni mwananchi wa Kijiji cha Kimokouwa amesema kuwa Nzige hao walivamia pori la Kijiji hicho na anasema Nzige hao walikuwa wengi sana lakini Serikali imefanikiwa kuwadhibiti kwa kiasi kikubwa sana.

Wadudu aina ya Nzige waliingia Wilayani Longido Februari 20,2021 kutokea nchi ya Kenya na mnamo Februari 23 Serikali ilifanikiwa kuwadhibiti kwa kuwanyunyuzia dawa.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.