• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MAKOND AMASIFU WAZIRI AWESO KWA UCHAPA KAZI WAKE KATIKA KUTEKELEZA ILANI YA CCM

Posted on: October 23rd, 2024

RC MAKOND AMASIFU WAZIRI AWESO KWA UCHAPA KAZI WAKE KATIKA KUTEKELEZA ILANI YA CCM

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameridhishwa na utoaji wa huduma ya Maji Mkoani Arusha unaotokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya awamu ya sita, na kuahidi kusimamia kikamilifu upatikanaji wa huduma za uhakika za maji zinawafikia wananchi wa mkoa wa Arusha huku akimsifu Waziri wa Maji, Mhe.Juma Aweso kwa uchapakazi wake katika kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Mhe.Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na miundombinu yake,  pamoja na hali ya utoaji na upatikanaji wa huduma hizoikwa wananchi, mapema leo Oktoba 23, 2024,

Mhe. Makaonda licha kuridhishwa na hali ya upatikanaji wa huduma za maji Jiji la Arusha unaokwenda takribani 90% na saa 23 kwa siku, amempongeza pia Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso kwa umahiri wake, katika kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kupeleka huduma ya maji kwa wananchi kote nchini Tanzania.

Katika hatua nyingine Mhe. Makonda amezitaka mamlaka za Maji mkoani Arusha kuja na mkakati maalum wa kusaidia wananchi wasiokuwa na uwezo, kwa kuwaunganishia huduma ya maji na kuwa na mpango wa ulipaji wa gharama za kuunganishiwa huduma ya maji kwa awamu.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.