• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MAKONDA AJIPANGA KUONGEZA KIKOSI KAZI CHA TAKUKURU ARUSHA...

Posted on: May 28th, 2024

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda, amesikitishwa na tuhuma za rushwa zinazoukabili mkoa huo na kujipanga kuongeza kikosi kazi kitakachoongeza nguvu ya mapambano ya rushwa mkoani humo.


 Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa hadhara wa kuzungumza na wananchi wa halmashauri ya Arusha wilaya ya Arumeru ikiwa ni siku ya nnne ziara yake ya 'Siku 6 za Moto Arusha' ya kukagua utekelezaji wa shughuli za maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi ili kusikiliza kero.


Amesema kuwa, ili kukabiliana na mafisadi na wala rushwa mkoa huo unahitaji  Taasisi ya Kupambana na Kuzia Rushwa nchi TAKUKURU kukiongezea nguvu kikosi cha Arusha pamoja na kumuomba Mkaguzi Mkuu na Mdhitbiti wa Hesabu za Serikali kufanya ukaguzi upya katika eneo la mapato na matulizi pamoja na fedha za utekezaji wa miradi ya maendeleo.


Ameweka wazi kuwa, mkoa unahitaji kufanya mambo mawili, ambapo ameyataja kuwa ni pamoja na moja ni kumuomba Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Tanzania TAKUKURU · CP. Salum Hamduni kuongeza kikosi kazi cha TAKUKURU maalum kwa kufanyakazi kwenye mkoa wa Arusha, ili kupambana na Rushwa, nataka tusafishe Mafisadi na wala rushwa wote kwa kuwa kazi tuliyonayo sasa tunaelemewa, tunahitaji kikosi kikubwa zaidi, ili mkoa wa Arusha uwe wa mfano


"La pili tutamuomba Mkaguzi Mkuu na Mdhitbiti wa Hesabu za Serikali kufanya ukaguzi upya 'auditing' kuanzia kwenye vyanzo vya mapato mpaka kwenye matumizi yote ikiwemo ulipaji wa fedha za utekelezaji wa miradi"


"Leo nimegoma kusaini barua ya Jiji la Arusha, ambao walijipima na kuona wanauwezo wa kukusanya mapato mpaka bilioni 60, wakashusha mpaka bilioni 48, leo wanaomba nisaini barua kushusha mpaka bilioni 42, ninafahamu mtandao huu si mdogo, uko uwezekano wa watumishi wa juu walio nje ya huu mkoa, wanapunguza vigezo na makubaliano yaliyopitishwa na Baraza la Madiwani, wanashusha vyanzo ili wapate fursa ya kujipatia pesa hizo"

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.