• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MAKONDA AKERWA NA TABIA YA WATENDAJI KUTOTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO....

Posted on: May 23rd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameonya tabia ya baadhi ya watendaji wa serikali na taasisi zake kutotembelea miradi ya maendeleo suala ambalo limekuwa likisababisha wananchi kuteseka ma ukosefu wa huduma mbalimbali za kijamii licha ya serikali kutoa fedha nyingi za kutekeleza miradi hiyo.


Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda ametoa kauli hiyo mapema leo Mei 23, 2024 wakati alipotembelea Zahanati ya Kijiji cha Lemereta pembezoni mwa Mji wa Longido na kuelezwa kuhusu changamoto za ukosefu wa Umeme wa Uhakika na kutopatikana kwa maji kwenye zahanati hiyo iliyo muhimu kwa wakazi wa Kijiji cha Lemereta.


Bwana Supuk Melita Mwenyekiti wa kijiji cha Lemereta amemueleza Mhe. Mkuu wa Mkoa kwamba licha ya kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Maji vijijini na kwa Shirika la Umeme Tanesco Wilaya ya Longido, ni miezi mitatu sasa hawakuwahi kuona maafisa wa mamlaka hizo wakifika na kutatua changamoto walizowasilishiwa na wananchi.


Kufuatia hali hiyo, Mhe. Mkuu wa Mkoa amemtaka Bwana Ramadhan Musiba, Meneja wa Mamlaka ya Maji vijijini Wilaya ya Longido kumuandikia barua mteule wake (Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji) ili kueleza kuhusu udanganyifu alioutoa kwa Uongozi wa Mkoa pamoja na kushindwa kuwa mfuatiliaji mzuri wa miradi ya Maji inayotakiwa kusimamia na ofisi yake.


Katika Hatua nyingine Mhe. Makonda amemuagiza Bwana Lazaro Lenoi, Meneja wa Tanesco Wilaya ya Longido kuhakikisha kuwa ndani ya siku tatu Zahanati ya Lemereta inakuwa na Umeme wa kutosha ili kuondokana na changamoto ya Umeme kushindwa kuendesha vifaatiba na mashine nyingine zinazotumika kwenye Zahanati hiyo.


Mhe. Makonda amewataka watendaji kuwa na utamaduni wa kwenda kwa wananchi kila wakati na kutatua changamoto zao badala ya kukaa ofisini pekee na matokeo yake kusababisha ubadhirifu, uharibifu na kusuasua kwa miradi mingi ya maendeleo inayosimamiwa na serikali ya awamu ya sita.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.