• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MAKONDA AMELIAGIZA JESHI LA POLISI ARUSHA KUIMARISHA INTELEJENSIA YAKE...

Posted on: May 31st, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kuimarisha kikosi chake cha Intelijensia ili kuzuia na kukabilina na uhalifu mkoani hapo.

Ametoa agizo hilo wakati wa akikabidhi Pikipiki 50 na gari moja kwa pamoja vyenye thamani ya shilingi ya takribani milioni 205 kwa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha, kwa kusisitiza Jeshi hilo kuimarisha kitengo chao cha Intelejensia ili kuhakikisha wanapata taarifa sahihi za uhalifu na wahalifu kabla ya haujatokea, kuwa na uwezo wa kukabiliana nao kwa wakati pindi unapotokea pamoja  na kutoa taarifa ya matokeo ya uhalifu na wahalifu kwa jamii.

"Kikosi cha Intelijensia kikiwa imara na makini, kitakuwa na uwezo mkubwa  wa kuzuia uhalifu lakini zaidi kuwa na taarifa zitakazowezesha kukabiliana na uhalifu pindi unapotekea jambo ambalo litawapa wananchi imani na Jeshi lao la Polisi badala ya kuendelea kulitupia lawama, niombe pia muwe na tabia ya kutoa mrejesho kwa jamii ya namna mlivyokabiliana na uhalifu uliotokea". Amesisitiza

Aidha, Mhe. Makonda ameweka wazi  kuwa,  ni vyema Jeshi hilo la Polisi kujikita katika kukabiliana na uhalifu kabla haujatokea kwa kuwaruhusu kudhibiti na kukabiliana na uhalifu na wahalifu kabla ya kutekeleza matukio.

Kadhalika Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka Askari Polisi Mkoani Arusha kuwa waadilifu na waaminifu katika majukumu yao na kujiepusha na ukandamizaji wa haki na upokeaji wa rushwa ili kujenga uaminifu kwa Jamii inayotakiwa kushirikiana nao katika ulinzi na usalama wa Mkoa wa Arusha.

Mhe.Makonda amebainisha kuwa, usalama ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kumtaka kuimarisha Utalii huku akisisitiza kuwa kivuti kikuu cha watalii na wageni wanaofika Arusha ni usalama na utulivu wa maeneo yote katika mkoa huo.

Awali, pikipiki hizo 50 na gari moja aina ya Fortuner vimetolewa na Benki ya CRDB na NMB pamoja, kampuni ya vifaa vya umeme ya MCL kwa lengo la kuunga mkono jitihada za Mkuu wa Mkoa katika kuimarisha ulinzi na usalama kwenye mkoa wa Arusha.

#ArushaNaUtalii
#KaziIendelee

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.