• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MONGELLA AMEAHIDI KUTEKELEZA MKATABA WA AFUA ZA LISHE KWA NIABA YA WAKUU WA MIKOA YOTE  NCHINI....

Posted on: October 26th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John V.K Mongella ameahidi kwa niaba ya wakuu wa mikoa yote Tanzania kuongeza kasi katika kutekeleza Mkataba wa Afua za Lishe nchini kama yalivyo maelekezo ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kuzingatia vigezo vilivyoainishwa na SSerikali


Mhe. Mongella ameahidi hayo mbele ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa wakati wa Mkutano wa tisa wa Wadau wa Lishe nchini, uliofanyika kwenye Hoteli ya Mount Meru mkoani ArArusha


Amesema kuwa Afua za Lishe ni ajenga muhimu yenye lengo la kuboresha hali ya lishe na kupunguza athari za utapiamlo na udumavu kwa watwato


"Mhe. waziri Mkuu  nikuahidi kwa niaba ya wakuu wa mikoa wenzangu, tutaendelea kuwajibika na kutekeleza majukumu yetu na kuchukua hatua madhubuti za kupunguza hali duni ya lishe katika mikoa yetu kwa kuzingatia zaidi maelekezo ya ofisi yako, Ofisi ya Makamu wa Rais na Ofisi ya Rais TAMITAMISEMI


Hata hivyo Mkuu huyo wa mkoa, ameweka wazi kuwa mkoa wa Arusha ni kati ya mikoa, inayofanyia kazi kwa mikataba ya Lishe, katika ngazi zote na kupata mafanikio makubwa ambayo yamepatikana  chini ya viongozi wetu wakuu wa nchinnchi


Awali Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama (MB), amesema kuwa Mkutano wa tisa wa Wadau wa Lishe umefanyika mkoani Arusha kwa sababu mkoa huo unafanya vizuri katika utekelezaji wa afua za Lishe nchininch


Mkataba wa Lishe ni mkakati wa Kitaifa ambao ulisainiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan  jijini Dodoma mwaka 2022 na baadaye kusainiwa na Wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa hamashauri kupitia ofisi ya Mkuu wa mkoa na hatimaye Maafisa Watendaji wa Kata, Mitaa na Vijiji Tanzania nzima.



Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.