• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

RC MONGELLA: AWAMU YA SITA YATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO YA TAKRIBANI TRILIONI MBILI KISEKTA

Posted on: December 13th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Serikali ya awamu ya sita, kuelekea miaka mitatu ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, mkoa wa Arusha umekuwa miongoni mwa mikoa nchini, iliyonufaika sana kwa kupata miradi mingi ya maendeleo, inayokwenda sambamba na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi.


Akizungumza wakati akitoa salamu za mkoa wa Arusha kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Mohamed Hamad Mchengerwa, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John V.K Mongella, amesema kuwa, Serikali ya awamu ya sita imetofa takribani trilioni 2 za kutekeleza miradi ya maendeleo, miradi ambayo imeleta mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kijamii ikilinganishwa na awamu zilizotangulia.


Amesema kuwa, kiasi hicho cha fedha kinaweza kulinganishwa na fedha za miradi kwa miaka sita na kuongeza kuwa  ipo miradi mikubwa ambayo haijawahi kutekelezwa katika mkoa huo, ikiwemo ujenzi wa shule mpya za sekondari na msingi, ujenzi wa vituo vipya vya afya na hospitali mpya za wilaya na mkoa, miradi ambayo inameshaanza kuleta matokeo makubwa sana kwa wananchi wa Arusha.


 "Kwa niaba ya wananchi wa mkoa wa Arusha, tunaipongeza Serikali, kwa namna imeweza kuteleza Ilani ya CCM ya 2020 - 2025, tunampongeza na kuahidi kumuunga mkono,  Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wananchi wa Arusha, tunaahidi  kusimamia utekelezaji wa shughuli zote za maendeleo za mkoa wetu"


Amesisitiza kuwa, kwa kipindi cha wiki mbili mfululizo, mkoa unakwenda kupokea magari 9 leo, kwa ajili ya usimamizi wa shughuli za afya, jambo ambalo halijawahi kutokea zaidi  linajidhihirisha wazi, Serikali ya mama Samia imedhamiria kuondoa kero za wananchi, kuwahudumia wagonjwa katika maeneo yao pamoja na kuondoa vifo vya mama na mtoto.


Hata hivyo,Mhe. Mchengerwa amewapongeza viongozi wa mkoa wa Arusha, kwa kazi nzuri ya usimamizi wa fedha na miradi ya maendeleo, inayotekelezwa katika mkoa huo, pamoja na ushirikiano mkubwa wa viongozi wa Chama na Serikali, ushirkiano  unaosababisha hali ya amani na utulivu kwa wananchi wa mkoa huo.


"Ninawapongeza viongozi wote wa mkoa wa Arusha na Manyara, kwa ushirikiano wa karibu baina ya viongozi wa Chama na Serikali ni chachu ya mafanikio ya Serikali na wananchi, kila kiongozi wa aliyeteuliwa na kuchaguliwa anao wajibu wa kutekelza majukumu yake huku akitambua wote wanajenga nyumba moja" Amesema Mhe. Mchengerwa


Awali, Mhe. Mchengerwa,  amekabidhi magari 13 yaliyotolewa na Serikali kwa ajili ya Usimamizi Shirikishi wa Shughuli za Afya kwenye mikoa ya Arusha na Manyara, huku Arusha ikipata magari 5 na Manyara magari 8, shughuli iliyofanyika leo tarehe 13.12.2023 kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.