• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

SHERIA NA KANUNI KUPITIWA ILI KUONDOA KERO NA VIKWAZO KWA ASASI NA MASHIRIKA YA KIRAIA.

Posted on: July 8th, 2024

Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imeagizwa ndani ya mwezi mmoja kuzitambua na kuketi pamoja na asasi na mashirika ya binafsi yasioingiza faida ili kupanga mkakati wa pamoja wa kuona namna ambavyo watakuza ufanisi katika kuhudumia wananchi wa mkoa wa Arusha.


Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda wakati alipokutana na wadau wa asasi na mashirika hayo ya kiraia, ikiwa ni miongoni mwa maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho katika kukuza ufanisi na kuimarisha utendaji kazi wa taasisi hizo muhimu kwa maendeleo ya Mkoa wa Arusha.


Katika hatua nyingine pia Mkuu wa Mkoa ameunda kamati ndogo inayotokana na wajumbe kutoka kwenye asasi na mashirika hayo, kwaajili ya kupitia na kuchambua sheria na kanuni mbalimbali ambazo zimekuwa zikisababisha mgongano na vikwazo kwenye utendaji wa asasi na mashirika yanayofanya kazi mkoani Arusha.


Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema mapendekezo yatakayotokana na uchambuzi huo yatawasilishwa kwa Mamlaka husika lengo likiwa ni kupata sera na sheria ambazo zitakuwa rafiki kwa asasi na mashirika hayo pamoja na kwa wafadhili wanaosaidia asasi na mashirika hayo kufanya kazi zake.


























Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imeagizwa ndani ya mwezi mmoja kuzitambua na kuketi pamoja na asasi na mashirika ya binafsi yasioingiza faida ili kupanga mkakati wa pamoja wa kuona namna ambavyo watakuza ufanisi katika kuhudumia wananchi wa mkoa wa Arusha.



Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda wakati alipokutana na wadau wa asasi na mashirika hayo ya kiraia, ikiwa ni miongoni mwa maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho katika kukuza ufanisi na kuimarisha utendaji kazi wa taasisi hizo muhimu kwa maendeleo ya Mkoa wa Arusha.



Katika hatua nyingine pia Mkuu wa Mkoa ameunda kamati ndogo inayotokana na wajumbe kutoka kwenye asasi na mashirika hayo, kwaajili ya kupitia na kuchambua sheria na kanuni mbalimbali ambazo zimekuwa zikisababisha mgongano na vikwazo kwenye utendaji wa asasi na mashirika yanayofanya kazi mkoani Arusha.



Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema mapendekezo yatakayotokana na uchambuzi huo yatawasilishwa kwa Mamlaka husika lengo likiwa ni kupata sera na sheria ambazo zitakuwa rafiki kwa asasi na mashirika hayo pamoja na kwa wafadhili wanaosaidia asasi na mashirika hayo kufanya kazi zake.



























Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imeagizwa ndani ya mwezi mmoja kuzitambua na kuketi pamoja na asasi na mashirika ya binafsi yasioingiza faida ili kupanga mkakati wa pamoja wa kuona namna ambavyo watakuza ufanisi katika kuhudumia wananchi wa mkoa wa Arusha.



Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda wakati alipokutana na wadau wa asasi na mashirika hayo ya kiraia, ikiwa ni miongoni mwa maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho katika kukuza ufanisi na kuimarisha utendaji kazi wa taasisi hizo muhimu kwa maendeleo ya Mkoa wa Arusha.



Katika hatua nyingine pia Mkuu wa Mkoa ameunda kamati ndogo inayotokana na wajumbe kutoka kwenye asasi na mashirika hayo, kwaajili ya kupitia na kuchambua sheria na kanuni mbalimbali ambazo zimekuwa zikisababisha mgongano na vikwazo kwenye utendaji wa asasi na mashirika yanayofanya kazi mkoani Arusha.



Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema mapendekezo yatakayotokana na uchambuzi huo yatawasilishwa kwa Mamlaka husika lengo likiwa ni kupata sera na sheria ambazo zitakuwa rafiki kwa asasi na mashirika hayo pamoja na kwa wafadhili wanaosaidia asasi na mashirika hayo kufanya kazi zake.























Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.