• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

SHIRIKA LA WiLDAF LATAMBULISHA MRADI WA USAID WANAWAKE SASA ARUSHA

Posted on: August 22nd, 2024

Shirika lisilo la kiserikali la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika -WiLDAF limetambulisha rasmi mradi wa Wanawake Sasa ambao utatekelezwa mkoani Arusha kwa kipindi cha Miaka mitatu 2024 - 2027.


Akizungumza kwenye kikao kifupi cha kutambulisha mradi huo, kilichofanyika kwenye ofisi ya  kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Agosti 21,2024 Mkurugenzi wa shirika hilo, Anna Kulava, amesema kuwa mradi huo wa Wanawake Sasa una lengo la kuhamasisha ushiriki wa wanawake katika uongozi na maamuzi ili kubadili fikra za kutambua uwezo sawa wa wanaume na wanawake katika uongozi.


katika kipindi hicho mradi utatekelezwa kwenye halmashauri za Jiji la Arusha na Meru, ukifanya kazi ya kuwajengea uwezo wanawake na kuwahamasisha kushiriki kwenye chaguzi kwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na Uchaguzi Mkuu mwaka 2025.


"Mradi unalenga kuwafikia angalau wanawake 50 kila halmashauri na kuwajengea uwezo wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika maeneo yao hasa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika mapema mwezi Novemba Mwaka huu" Amesema Anna.


Amesisistiza kuwa, wanawake na vijana wanapaswa kutambua kuwa uongozi ni hatua hivyo kuanza katika nafasi ndogo ndogo za uongozi ambao utamjenga na kudhhirisha kama mtu huyo akishika nafasi kubwa ya uongozi atafanya vizuri zaidi.


“Mradi huu unalenga zaidi kuwafikia na vijana  vijana na kuwajengea uwezo wa kutambua kuwa uongozi sio lazima ngazi za juu tu bali hata nafasi ndogo zina umuhimu kwa vijana.” Amesisitiza.


Kwa upande wake Kaimu Katibu tawala na Afisa Utumishi Mkuu Mkoa wa Arusha Elgin Nkya,  amewakaribisha wadau hao mkoani Arusha na kuwaahidi ushirikiano katika kutekeleza mradi huo huku akisisitiza kuwa, kuwatenga wanawake katika nafasi za uongozi ni sababu za kudumaza maendeleo hasa katika nchi za Afrika.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.