• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

SIJAJA KUWAONDOA, NIMEKUJA KUWASIKILIZA

Posted on: February 14th, 2022

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa amewataka wananchi wa Wilaya ya Ngorongoro kutokuwa na hofu ya kuondolewa katika maeneo ya hifadhi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani na wadau wa hifadhi wilayani Ngorongoro.

Lengo kubwa la kikao hicho ni kuona namna bora ya kutunza uhifadhi wa misitu na wanyama katika eneo hilo.

Mhe. Majaliwa amewataka wananchi wa Ngorongoro kupuuzia maneno yanayozungumzwa mitaa kwani hayana ukweli wowote wa kuondoa wananchi katika maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro na pori tengefu.

Akisisitiza zaidi Mhe Mjaliwa amesema Serikali haiwezi kuonea mtu yoyote kwani watu wote niwatanzania na wala haibagui kabila na hata dini.

Wajibu wa Serikali ni kusikiliza changamoto za wananchi na kuzitatua kwani ipo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi.

Msisitizo wa Serikali nikuona namna ya kuhifadhi tunu za wanyama na misitu kwa kuzitunza na mslahi mapana ya nchi.

Nae, mbunge wa wilaya ya Ngorongoro Emmanuel Shangai amesema wananchi wa wilaya hiyo wapo tayari kufanya mazungumzo na Serikali ili kufikia Suluhu ya migogoro hiyo.

Kiongozi wa kimila ( Laigwanani) bwana Joel Kremesi akizungumza kwa niaba ya wananchi wa wilaya hiyo amemshukuru Waziri Mkuu kwa kutambua kuwa wananchi hao niwahifadhi wazuri wa wanyama na misitu.

Bwana Kremesi amesema wao wapo tayari kujadili hatua zitakazochukuliwa katika kuhakikisha maamuzi yanapatikana kwa pande zote mbili kushiriki kikamilifu.

Mhe.Waziri Mkuu amefanya kikao hicho na wadau wa hifadhi ikiwa ni kutekeleza maelekezo yaliyotolewa na Mhe.Rais Samia Suluhu yakukutana na wadau hao na kutafuta muafaka.

Kikao hicho kilijumuisha viongozi mbalimbali wakiwemo mawaziri, Naibu mawaziri, makatibu wakuu, viongozi wa chama, viongozi wa dini, viongozi wa kimila, madiwani na wenyeviti wa Wilaya hiyo ya Ngorongoro.








Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • KARIBU ARUSHA Mhe. KENAN LABAN KIHONGOSI MKUU WA MKOA WA ARUSHA

    June 26, 2025
  • SIKU YA KWANZA; WAKAZI WA ARUSHA WAJITOKEZA KWENYE KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA MABINGWA WABOBEZI

    June 23, 2025
  • RC MAKONDA ASHIRIKI MARATHON YA KKKT 2025

    June 21, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.