• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

TANZANIA KUTEKELEZA MPANGO WA UWEKEZAJI KATIKA AFYA YA MAMA NA MTOTO.

Posted on: September 1st, 2024


 Ofisi ya Rais - Tamisemi 



Tanzania imeanza utekelezaji wa Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto ambapo unalenga kuboresha huduma mbalimbali za Afya, kama vile; Ujenzi wa vituo vya Afya, kuajiri watoa huduma za afya kwa Mikataba katika kipindi chote cha utekelezwaji wa mpango huu na kuendelea kuboresha Huduma ya M – mama.



Mpango huo unatekezwa kwa kipindi cha Miaka Mitano, unatekezwa kwa pamoja kati Wizara ya Afya Tanzania Bara, Ofisi ya Rais –TAMISEMI na Wizara ya Afya - Zanzibar na kuratibiwz na Wizara ya Fedha Tanzania bara na Wizara ya Fedha, Tanzania Zanzibar.



Akiwasilisha mpango huu Katika Mkutano wa Nane wa Tathimini ya Mkataba wa lishe na Kutambulisha Mpango wa Taifa wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto (TMCHIP) uliofanyika katika ukumbi wa Jiji Mtumba Jijini Dodoma Dr. Athumani Pembe ambaye ni Mratibu wa Mpango huu amesema mpango huo umelenga Kuboresha huduma za Afya ya uzazi za dharura na upasuaji kwa akina Mama Wajawazito, kuboresha huduma za dharura kwa Watoto wachanga na Watoto wanaougua na Kuimarisha utoaji wa huduma za afya ya uzazi kwa vijana balehe.



Melengo mengine ni Kuimarisha afua za lishe kwenye Mikoa na Halmashauri, Kuimarisha mfumo wa rufaa na magonjwa ya dharura katika Ngazi ya Afya ya Msingi na Hospitali za Rufaa za Mikoa pamoja na Kuimarisha mifumo ya TEHAMA kwa ajili ya ukusanyaji na uchakataji wa takwimu mbalimbali za afya.



Mkutano huo ambapo Mgeni wake Rasmi ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa umehudhuriwa na Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Waganga wa Kuu wa Mikoa na wa Wa halmashauri na Maafisa lishe wa Mikoa.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.