Watumishi wa umma kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Arusha wakiwasili kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano AICC Arusha kwaajili ya kikao kazi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa kinachofanyika leo 02 Mei, 2025.
Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.