• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

UZINDUZI WA CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Posted on: April 25th, 2018

Ushirikishwaji katika kutoa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kutoka katika sekta mbalimbali hasa za dini,kisiasa na kabila ni muhimu sana.

Akiyasema hayo kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro amesema kuwa zoezi hili lisichanganywe na mambo ya siasa bali sekta hizo zitumike kutoa elimu zaidi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizindua utoaji wa chanjo hiyo kimkoa katika shule ya msingi Ngarenaro,ambapo amesema wasichana 21,198 watapatiwa chanjo hiyo kwa mkoa wa Arusha.

Aidha,saratani ya mlango wa kizazi niya pili baada ya saratani ya matati, kwa asilimia 38 na niya kwanza kwakuwa na vifo vingi kwa Tanzania, ikifuatiwa na saratani ya shingo ya kizazi kwa asilimia 32.8,saratani ya koo asilimia 10.9 na saratani ya tezi dume kwa asilimia 2.1.

Chanjo hii inapatikana katika vituo vyote vya afya na ni bure kwa wasichana wenye umri wa miaka 14.Kila mwaka wanawake 466,000 wanathibitika kuwa na saratani ya mlango wa kizazi.

Akizungumza kwa niaba ya katibu tawala wa mkoa wa Arusha,mganga mkuu wa mkoa wa Arusha Vivia Tomothy Wonanji, amesema kila mtoto aliyefikisha miaka 14 anatakiwa kupatiwa chanjo hii na itarudiwa baada ya miezi sita ya chanjo ya kwanza.

Amewashukuru wadau wote walioshirikiana na Serikali katika kufanikisha upatikanaji wa chanjo hii na bure nchi nzima.

Amewatoa shaka wananchi wote kuwa chanjo hiyo ni salama kabisa na elimu itaendelea kutolewa kwa watu ili kuwaondoa wasiwasi wakuwa chanjo hii inaharibu kizazi.

Chanjo hii yakuzuia saratani ya mlango wa kizazi ilizunduliwa hivi karibuni nchini na waziri wa afya,maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Ummi Mwalimu na kufuatia uzinduzi mdogo katika mikoa na halmashauri zote ambapo kwa Arusha ilizinduliwa mnamo Aprili 25,2018.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.