• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WAKUU WA WILAYA, WAKURUGENZI WATAKIWA KUSIMAMIA KIKAMILIFU UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE.

Posted on: February 14th, 2025

Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya za Arusha wametakiwa kusimamia kikamilifu suala la lishe katika maeneo yao ili kuwa na Taifa lenye watu wenye afya bora pamoja na utimamu wa akili.



Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Dadi Kolimba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda katika kikao cha tathmini ya lishe Mkoa wa Arusha kilichofanyika leo tarehe 14 Februari, 2024 kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.



Mhe. Kolimba amesema kuwa agenda ya Mheshiwa Rais ni kuhakikisha kila mtanzania anakuwa na afya njema ili kuweza kusaidia kuwa na Taifa lenye watu walio salama kiafya .



"Mheshiwa Rais ameingia mkataba na wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri ambapo imeenda mpaka kwa watendaji wa kata kwasababu ya usalama wa nchi yetu kuanzia usalama wa mama na mtoto kabla na baada ya kuzaliwa". Amesema.



Aidha amewaeleza wadau hao wa lishe kuangalia afua za lishe kila wilaya kuona kama zinatekelezwa ipasavyo.



Kwa upande wake Afisa lishe Mkoa wa Ausha, Dotto Milembe amesema kuwa taarifa ya utekelezaji ya viashiria vinavyosimamiwa na mkataba wa lishe kwa kipindi cha Julai 2024 mpaka Desemba 2025, Mkoa umetenga fedha kiasi cha shilingi  Milioni 947 kwaajili ya kutekeleza afua za lishe ambapo ni sawa na shilingi 2,490.4 kwa kila mtoto.



ameongeza kuwa,  tathmini ya lishe kwenye ngazi ya kata, Mkoa wa Arusha unafanya vizuri kwa kuwa mpaka sasa wameweza kuvuka lengo la Kitaifa katika suala la lishe.



Naye Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Charles Mkombachepa kwa niaba ya Katibu tawala wa Mkoa wa Arusha Missalile Albano Musa amepongeza Afua za lishe kwa kuendelea kufanya vizuri na kuwataka kuendelea kushika nafasi nzuri katika masuala ya lishe kimkoa.


Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.