• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WAKUU WA WILAYA WAAPISHWA

Posted on: January 31st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amewataka wakuu wa wilaya hasa wageni kwenda kusimamia zoezi la uwandikishaji wanafunzi wa awali, msingi na kidato cha kwanza katika maeneo yao.

RC Mongella ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali baada ya zoezi la kuwaapisha wakuu wapya wa Wilaya ya Arusha, Arumeru na Longido.

Amesema muongozo wa kusimamia na kuhakikisha watoto wote wanaostahili kujiunga na shule upo hivyo wakasimamie bila kuwa na huruma kwa mtu.

Aidha,amewataka wakuu hao wa Wilaya  wakawe viongozi wa kutafakari bila kukurupuka hiyo itawasaidia kuweza kufanyakazi kwa weredi.

Hata hivyo, amewataka wakawahudumie wananchi kwa ukaribi zaidi.

Amewasisitiza zaidi wakatunze mazingira katika maeneo yao kwa kupanda miti kila wakati ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Nae, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa (CCM) Zelothe Steven amewataka wakuu hao wa Wilaya kwenda kusimamia ilani ya CCM katika maeneo yao kwani chama ndio kinachohitaji zaidi kutoka kwao.

Pia, wakawe wanyenyekevu na watulivu kwa kutoa huduma bora kwa wananchi na hiyo itawasaidia kwenda na kasi ya Rais Samia na CCM.

Kwa upande wa Viongozi wa Dini Askofu Stanley Hotay amewashauri wakuu hao wa Wilaya wakafanye kazi zao kwa hekima maana changamoto zipo katika nafasi zao.

Akizungumza kwa niaba ya wakuu wa Wilaya walioapishwa, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Emmanuela Kaganda amesema wataenda kulinda amani katika maeneo yao kwani Mkoa wa Arusha ni kitovu cha utalii na kuna wageni wengi.

Vilevile, watashirikiana na viongozi wote wakiwemo wa Serikali, Dini na chama ili kuleta maendeleo ya Mkoa kwa pamoja.

Wakuu wa Wilaya wapya walioapishwa Mkoa wa Arusha ni Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Gasper Mtahengerwa, Marko Henry Ngu'mba Mkuu wa Wilaya ya Longido, Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Mkuu wa Wilaya ya Arumeru na Mkuu wa Wilaya ya Monduli aliye hamia Suleimani Yusuf Mwenda.






Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.