• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WANANCHI WANAOFIKA KUPATA HUDUMA KWENYE KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA NA WABOBEZI ARUSHA; WAENDELEA KUISHUKURU SERIKALI

Posted on: June 29th, 2024

Na Elinipa Lupembe 


Idadi kubwa ya wananchi wanomiminika kupata huduma za matibabu, zinazotolewa bure kwenye Kliniki ya Madaktari Bingwa na Wabobezi Arusha, wameendelea kuishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Hassan na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda kwa huduma hiyo muhimu ambayo imetoa fursa kwa watu wasio na uwezo wa kupata huduma hizo katika mazingira ya kawaida.


Dorah Mushi ni miongoni mwa wananchi ambaye amesema kuwa, umati huo mkubwa wa watu unaashiria namna gani wanachangamoto za kiafya na wengi wao hushindwa kumudu gharama za matibabu ya kibingwa na kukiri kuwa huduma hiyo ni njema imeonyesha upendo mkubwa hasa kwa watoto na wazee. 


Aidha, Bi. Dorah anamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa upendo na mapenzi yake makubwa kwa wanyonge na wazee, na kuthibitisha kuendelea kumuombea afya njema na maisha marefu zaidi, ili aendelee kuwafikia na kuwatumikia watanzania.


"Ebu angalia umati huu wa watu hata tukisema watibiwe wote haiwezekani, wengi wanasema tuongezewe muda lakini pia tuangalie na Madaktari wanatosha? Maana yake Madaktari wengine wamebaki Mahospitalini na waliopo hapa wamejitolea lakini watu ni wengi kupita kiasi.", ameongeza Bi. Dorah


Awali, kambi hiyo ya matibabu bure inafanyika kwa siku saba mkoani Arusha, ikiwa na mwitikio mkubwa wa wananchi wa Arusha na nje ya Arusha wenye changamoto za kiafya huku ndani ya siku tano ikionyesha mafanikio makubwa kwa wagonjwa ambao wamefika na kupatiwa huduma za matibabu, vipomo, dawa na vifaa tiba bure ambapo kwa wastani zaidi ya watu 3,500 wanahudumiwa kwa siku.


Kaulimbiu ya Kambi hiyo ya madaktari bingwa ni "Afya yako mtaji wako, kazi yetu ni kukupatia huduma bora"


Wizara ya Afya Tanzania Ummy Mwalimu Samia Suluhu Kwanza Ofisi ya Rais - Tamisemi Ofisi ya Makamu wa Rais CCM Tanzania

May be an image of one or more people, people playing soccer, crowd and text

May be an image of 1 person, crowd, dais and text

May be an image of one or more people and crowd

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.