• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WATAKAO TUMIA MITANDAO YA KIJAMII VIBAYA KUKIONA

Posted on: February 13th, 2019

Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola ameagiza jeshi la Polisi kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhakikisha watu wote watakaotumia mitandao ya kijamii kukashifu Mtu au nchi wakamatwe na kufunguliwa kesi kwa mujibu wa sheria za mawasiliano nchini.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kubaini kuwa kuna baadhi ya Watanzania wanaikashifu nchi pamoja na Rais John Magufuli kwenye mitandao ya Kijamii na vyombo mbalimbali vya habari.

Lugola amesema hali hiyo inapelekea kujenga picha mbaya ya nchi ya Tanzania kuwa haina amani na utulivu lakini uhalisi hauko hivyo, kwani nchi imejaa amani na utulivu kila mahali.

Amesema serikali haita kaa kimya kabisa kwa mtu yoyote atakae toa maneno ya uwongo ili kuvunja amani ya nchi kwani nchi inasheria na taratibu hivyo hatua kali zitachukuliwa kwa wote watakao toa maneno ya uchochezo na ya kuvunja amani nchi.

Aidha, amesema hali ya amtukioya uhalifu imepungua kutoka matukio 596,533 kwa mwaka 2017 hadi 591,803 kwa mwaka 2018 yani pungufu ya matukio 4,730 sawa na asilimia 0.8.

Pia, matukio makubwa na madogo ya barabarani  kwa mwaka 2017 yalikuwa 2,522,998 na 2018 yalikuwa 2,722,720, hii ni ongezeko la matukio 199,722 sawa na asilimia 7.9 na hii imesababishwa na udhibiti na ukaguzi unaofanywa na jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani hapa nchini.

Kutokana na hali hii Mhe. Lugola amewaondoa shaka wageni wote hasa watalii na wawekezaji kuwa hali ya usalama kwa nchi ya Tanzania ni nzuri sana naya utulivu.

Mhe. Kangi Lugola yupo ziarani Mkoani Arusha kuzungukia Wilaya zote za Mkoa huu ambapo atakutana na kufanya vikao na kamati za ulinzi na usalama za wilaya na pia atazungumza na kamati za chama cha Mapinduzi kwa lengo lakuona ni kwa namna gani ilani ya chama imetekelezwa hususani upande wa ulinzi na usalama.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.