• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WATAKAOHUJUMU MIUNDOMBINU YA MAJI KUKIONA-JUMAA UWESO

Posted on: February 17th, 2021

Watu wote watakaohusika na uhujumu miundombinu ya maji kuchukuliwa hatua kali ikiwemo kufungwa na faini.

Maelekezo hayo yametolewa na Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso alipokuwa akizungumza na watumishi wa Mamlaka za Maji za Mkoa wa Arusha.

Amesema serikali imewekeza fedha nyingi sana katika miradi ya maji hivyo lazima ilindwe kwa manufaa ya wananchi wote katika Mkoa mzima wa Arusha.

Pia, amemuwagiza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa  Mazingira Jiji la Arusha Eng. Justine Lujomba kuwachukulia hatua kali watumishi wote watakao waibia wananchi kwa kuwalipisha bili kubwa za maji.

Kwa kufanya hivyo kutasaidia kupunguza wizi wa maji na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu.

Aidha, amewataka watumushi wa mamlaka hizo kufanya kazi kwa bidii na kwa uwadilifu mkubwa ili huduma ya maji iweze kuwafikia wananchi wengi na kwa muda mfupi.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta, amewataka watumishi wa Mamlaka za maji za Mkoa wa Arusha kila mmoja kutekeleza majukumu yake katika nafasi yake bila kusukumwa.

Kimanta amewataka watalaamu hao kutumia  utalaamu wao kwa umakini, ili miradi ya maji inayojengwa iwe ya tija na kwa manufaa ya wananchi wa mkoa huo.

Nae, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na  Usafi wa Mazingira Eng. Justine Lujomba amemuhakikishia Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Uweso kuwa mradi wa Moita katika Wilaya ya Monduli itakamilika na kukabidhiwa kwake ifikapo Aprili 19,2021.

Eng. Lujomba amewasihi watumishi hao kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa.

Waziri jumaa Uweso amefanya ziara ya kikazi ya  siku 2 katika Mkoa wa Arusha na kukagua miradi mbalimbali ya maji iliyopo katika Mkoa huo.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.