• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WAWEKEZAJI ARUSHA WAPONGEZA SERA BORA ZA UWEKEZAJI NCHINI..

Posted on: January 16th, 2024


Na Elinipa Lupembe

Wawekezaji wa Kampuni ya  Hanspaul inayomiliki Kiwanda cha kutengeneza na kuunganisha magari maalum kwa ajili ya shughuli za Utalii  mkoani Arusha, wameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuwa na Sera bora zinazovutia wadau kuwekeza nchini.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Hanspaul, Satbir Singh Hanspaul kiwandani hapo, hakusita kuipongeza Serikali,  kwa kuwa na Sera nzuri zinazosababisha mazingira rafiki kwa wawekezaji kufanya kazi za uzalishaji nchini. 

Ameweka wazi kuwa, kupitia Kituo cha Uwekezaji cha Taifa,  imeweka mazingira rafiki yanayowezesha wawekezaji wa ndani kufanyakazi kwa kushirikiana na sekta zote, zaidi mazingira yanayoruhusu na kuvutia wawekezaji kutoka nje ya nchi kuwekeza Tanzania.

"Kiwanda chetu tunatengeneza magari yanayotumia umeme na yameanza kutumiwa na watalii, tunamshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Tamthilia ya Royal Tour imeleta watalii wengi nchini, watalii ambao baaadhi yao wanavutiwa kuwekeza Tanzania, huku TIC ikifanyakazi kubwa ya kuwaunganisha wafanyabiashara wakubwa, makampuni na watu binafsi".Amesema Satbir Singh

Hata hivyo amesema kuwa kutokana na amani na utulivu  wa kijamii, kiuchumi na kisiasa nchini, umewezesha watanzania na wageni kutoka nje ya nchi kufanya shughuli za uzalishaji mali kwa uhuru, unaokwenda sambamba na kukuza uchumi wa nchi.

Awali, Meneja Uhamasishaji Uwekezaji wa Ndani, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Felix John amesema kuwa, TIC inafanya kampeni ya kitaifa kwenye mikoa ya Kanda ya Kaskazini ya kuhamasisha uwekezaji wa ndani, ikiwa na lengo la kutoa elimu kuhusu zana ya uwekezajia pamoja ja kubadili fikra na mtazamo wa watanzania kwamba wawekezaji ni wageni kutoka nje ya nchi.

"Kampeni hiyo ni muhimu kwa watanzania, inayolenga pia kuwahamasisha watanzania,  kushiriki kikamilifu kwa kuwekeza katika miradi mbalimbali ya kiuchumi na kuchangamkia fursa zilizoko" Amebainisha John

Hata hivyo, ameaeka wazi kuwa, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, kwa kushirikiana na TIC, wameshusha kiwango cha fedha za uwekezaji hasa kwa wazawa kutoka Dola za Kimarekani 100,000 hadi kufikia 50,000 sawa na Sh.milioni 125, kwa lengo la kuwavutiwa wawekezaji wa ndani kuwekeza na kusajili miradi.

#arushafursalukuki




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.