• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AKAGUA HOSPITALI ZA WILAYA

Posted on: September 5th, 2022

Waziri wa afya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui amesema Serikali ya Zanzibar imejipanga kuweka mfumo sawa katika sekta ya Afya ili kudumisha zaidi Muungano.

Ameyasema hayo alipofanya ziara ya kikazi katika Hospitali ya Wilaya ya Arumeru na Jiji la Arusha.

"Tushirikiane katika kubadilishana mafunzo na uzoefu baina ya Serikali hizi mbili ili kudumisha undugu zaidi".

Amesema bado kuna kazi kubwa katika sekta ya Afya hasa katika kudhibiti vifo vya mama na mtoto ifikapo 2030, hivyo ushirikiano ni muhimu.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amesema katika sekta ya Afya Serikali ilitoa kiasi cha bilioni 3.5 fedha za tozo za miamala zakujenga miundombinu mbalimbali ya Afya kama vile Hospitali za Wilaya,majengo ya wagonjwa wa nje na vifaa.

Mhe.Mongella amesema ushirikiano uliopo wa Serikali hizi mbili ni kwasababu agenda ni moja ya kuleta maendeleo kwa nchi zetu.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango  amesema, Serikali ya awamu ya sita imeleta fedha za maendeleo ikiwa ni pamoja na fedha za tozo ambapo kwa Halmashauri hiyo Serikali katika sekta ya afya  ilitoa Milioni  300 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la kitengo cha dharura  EMD , Shilingi Milioni 500 kwaajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Mareu , Shilingi Milioni 90 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya watumishi Zahanati ya Maji ya chai.

Mhe.Mazrui amefanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Arusha kwa lengo la kuona namna mfumo unavyofanya kazi katika sekta ya Afya.






Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.