• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WAZIRI WA ARDHI ATOA SIKU 90 KUKAMILISHA SHUGHULI ZA ARDHI ENEO UNAPOJENHWA UWANJWA WA MPIRA WA MIGUU ARUSHA.

Posted on: April 6th, 2024

Na Elinipa Lupembe 

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya  Makazi, Mhe.Jerry Silaa (MB), amewaagiza Wakurugenzi wa Wizara hiyo, kuweka kambi Jijini Arusha kwa ajili ya kuongeza nguvu ya kushughulikia masuala yote yanayohusu ardhi ikiwemo kuandaa mipango miji, kufanya tathmini na kutoa hati miliki za maeneo yote yanayozunguka eneo linalojengwa uwanja wa mpira wa Miguu Arusha.


Mhe. Silaa amatoa agizo hilo, alipokuwa akizungumza na wananchi, kwenye hafla ya kumkabidhi Mkandarasi eneo la kujenga uwanja huo wa mpira, hafla iliyofanyika kata ya Olmoti, jijini Arusha na kuwataka Wakurugenzi wa Upimaji na Ramani kutoka wizara ya Ardhi, kuweka kambi Jijini Arusha ili kuhakikisha wanakamilisha kazi zote zinazohusu masuala ya ardhi ndani ya siku 90 hati zote ziwe zimepatikana.


Amesema kuwa, tayari Mkandarasi ameshakabidhiwa eneo la ujenzi wa uwanja ambao mkataba wake unakamilika na kukabidhi uwanja mapema mwaka 2026, huku akisistiza kuwa, ucheleweshwaji wa aina yoyote ile, utakaosababishwa na Wizara yake hatauvumilia.


"Leo hii Serikali kupitia Wizara yenye dhamana na Michezo, imemkabidhi Mkandarasi 'site', bado kuna maeneo yanatakiwa kulipwa fidia na yapo yanayotakiwa kupimwa na kutolewa hati miliki, ili mazoezi yote yaende sambamba na ujenzi wa uwanja, ni lazima watalamu wa Ardhi watoke ofisini wahamie hapa Olmoti, watalamu wa Wizara washirikiane na watalamu wa Jiji la Arusha, ili ndani ya sku 90 kazi zote zinazohusu ardhi zikamilike" Ameagiza Mhe. Silaa


Aidha, ameongeza kuwa, Serikali ya awamu ya sita inafanya kazi kubwa sana katika kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo, kazi ya watalamu ni kuwajibika kila mmoja kwa nafasi a taaluma yake na kuhakikisha malengo ya Serikali yanafikiwa bila kuwa na kikwazo na kuongeza kuwa, mtalamu atakayeshindwa kwenda na kazi na kutimiza wajibu wake, utakaokwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo hatavumilika badala yake, mtalamu huyo atalazimika kukaa kando.


Awali, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Damian Ndumbaro amemkabidhi Mkandarasi wa eneo lamujenzi wa uwanja, Mkandarasi wa Kampuni ya CRCEG ya nchini China kwa gharama ya shilingi Bilioni 286, mradi unaotegemea kukamilika mwaka 2026.


#arushafursalukuki 




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.