• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

WEKENI ALAMA YA KUITAMBULISHA NCHI KATIKA BIDHAA ZENU-MAJALIWA

Posted on: February 10th, 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amewataka wajasiriamali kote nchini kuhakikisha wanaweka mananeo ya kuitangaza nchi katika bidhaa zao.

Ametoa maagizo hayo alipokuwa akifungua maonesho ya 4 ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi Kanda ya Kaskazini, yaliyojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

Amesema ili nchi yetu na bidhaa zetu ziweze kutambulika zinatakiwa kutangazwa hasa kwa kuweka maneno kama vile (Made in Tanzania), ili kupata masoko na kuitangaza nchi ndani na nje.

“Ni aibu sana tuna bidhaa nzuri na bora lakini hazijulikaniki kama zinatoka katika nchi yetu”,alisema

Aidha, amelitaka baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi kuhakikisha elimu inawafikia wananchi juu ya namna mifuko hiyo inavyofanya kazi hususani kwenye masharti ya mikopo.

Mifuko mingi haijulikaniki kwa wananchi, hivyo kupitia maonesho haya elimu isambawe kwa watu ili watu waifahamu mifuko hiyo na kuwawezesha kupata mikopo kwa wigi.

Mwenyekiti wa baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi Festus Limbu        amesema ili wananchi wengi waweze kunufaika na mifuko hiyo ni vizuri ukawezeshwa ili kuwa na wigo mpana wa kuwawezesha wananchi.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joseph Mikirikiti amesema,wenye  jukumu la kuwasimamia na kuwaongoza wajasilimali ni viongozi hao wa Mkoa, Wilaya na ngazi zote za chini.

Nae, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta amesema, maonesho hayo yatatumika kama madarasa ya kutoa elimunya mfuko kwa wananchi ili fursa za uwekezaji ziweze kukua katika kanda ya Kaskazini.

Kimanta amesema, wananchi wengi wanachangamoto ya mitaji katika kuanzisha au kukuza biashara zao lakini wengi hawana uwelewa wa namna ya upatikanaji wa mikopo kutoka katika mifuko hiyo.

Hivyo, ameitaka mifuko hiyo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kuhakikisha wanatoa ushirikiano mzuri hasa katika kutoa maelezo yaliyojitosheleza kwa wananchi ili waweze kujifunza na kuielewa mifuko hiyo.

Jumla ya mifuko 54 ya kuwawezesha wananchi kiuchumi ipo Tanzania na mifuko 20 inawawezesha wananchi moja kwa moja na kiasi cha shilingi trilioni 2.2 zimetolewa kama mikopo kwa watu milioni 4.9 huku taasis 5000 zimeshanufaika kwa miaka mitano iliyopita 2015 hadi 2020.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.