• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Arusha Regional

The United Republic of Tanzania President Office Regional Administration and Local Government Arusha Regional

  • Home
  • About Us
    • History
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa mikoa waliopita-Arusha
    • Dira na dhima
    • The basics
    • Strategies
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Units
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • District
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Councils
    • Arusha CC
    • Arusha DC
    • Meru DC
    • Monduli DC
    • Karatu DC
    • Longido DC
    • Ngorongoro DC
  • Investment Opportunities
    • Tourism
    • Livestock
    • Agricultre
    • Industrial
  • Our Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Land
    • Tourism
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

ZALISHENI MAZAO YENYE TIJA KUONGEZA CHAKULA NA KIPATO-MGUMBA

Posted on: August 5th, 2020

Wakulima, Wavuvi na Wafugaji wametakiwa kuzalisha mazao yenye tija yatakayo ongeza upatikanaji wa chakula kwa wananchi na kuongeza pato la mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Ameyasema hayo Naibu Waziri wa Kilimo  Omary Mgumba alipokuwa akifungua maonesho ya 27 ya  Kilimo na sherehe za nanenane  kanda ya Kaskazini katika viwanja vya Themi Njiro jijini Arusha.

“Sekta ya Kilimo ina umuhimu mkubwa sana katika kukuza uchumi wa nchi kwani ni sekta inayoajiri watanzania zaidi ya asilimia 75”,alisema Mgumba.

Amesema ni jukumu la kila mkulima,mvuvi na mfugaji  kuhakikisha  anazalisha kwa wingi mazao mbalimbali kwa kutumia elimu na teknolojia watakazozipata katika maonesho hayo.

Hata hivyo, serikali ya awamu ya tano bado imeweka nguvu kubwa katika sekta hizo kwa kurudisha serikalini mashamba ya Basutu yaliyopo Mkoani Arusha ili yagawiwe kwa wananchi kwa lengo la kuendeleza Kilimo.

Pia, serikali imejenga vihenge vya kuhifadhi chakula kinachonunuliwa na serikali, na kuruhusu ndege takribani 4 zitakazotumika katika kusafirisha mazao ya Maua, Matunda na Mbogamboga katika nchi za Ulaya na Uarabuni, hii yote itaongeza ukuwaji wa soko la uhakika katika sekta hiyo.

Amewataka wakulima, wavuvi na wafugaji kusambaza elimu hiyo watakayoipata katika maonesho hayo hadi kwa wakulima wa ngazi ya kata na vijiji katika kukuza sekta hiyo.

Akitoa neno la ukaribisho Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Hassan Kimanta amesema, maonesho hayo hayatakuwa na tija ikiwa kama hayataleta mabadiliko katika sekta hizo za Kilimo, Uvuvi na Ufugaji.

Hivyo, amesisitiza tathimini ifanyike mapema ili iweze kutoa mwelekeo mapema wa maonesho hayo kwa baadae na mabadiliko kwa ujumla.

Mwenyekiti wa kamati ndogo ya maandalizi Bwana Richard Kwitega amesema, jumla ya waoneshaji 350 wameshajiandikisha katika maonesho ya mwaka 2020 na wanatarajia idadi kuongezeka zaidi.

Maonesho ya sherehe za nanenane kwa kanda ya Kaskazini yanafanyika kwa mara ya 27 na Kitaifa yanafanyika katika viwanja vya Nyakabimbi Mkoani Simiyu na kilele chake kinatarajia kuwa Agosti 10,2020.

Announcements

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • View All

Latest News

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
More Videos

Quick Links

  • Guildlines Towards the use of ICT In Government
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Public Servant Portal
  • Takwimu
  • TANAPA

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap
    • FAQ

Copyright ©2017 Arusha Regional Comissioner's Office. All rights reserved.